Flora Mbasha kufunga ndoa wiki ijayo

Ukute madam kamvumilia sana Mbasha mengine hawezi sema. Ukute jamaa ana kibamia au mnara unanyanyuka kwa majira. Kwenye ndoa za watu kuna mambo mengi sana watu wameyaficha moyoni. Kwahiyo msimlaumu sana Frola kwa uamuzi wake.
Ndoa ina chungu na tamu lakn kama ndoa imekushinda bora uishi maisha ya imani umlilie Mungu sasa kulikoni anawachanganya wakristo kwa anayoyafanya
 
Uvumilivu ni kila kitu ktk mahusiano na ndoa asikwambie mtu, kukimbia sio hitimisho, tujifunze kusamehe japo tunaumizwa
 
Ndoa ina chungu na tamu lakn kama ndoa imekushinda bora uishi maisha ya imani umlilie Mungu sasa kulikoni anawachanganya wakristo kwa anayoyafanya
All in all, ni maamuzi yake na kama ni dhambi wote tumewahi tenda. Hakuna adhabu ndogo na kubwa. Tumtakie maisha mema katika ndoa yake mpya.
 
Sishangai sana frola kufanya hilo haya in matokeo ya makanisa ya sasa wao kuvunja ndoa ni jambo LA kawaida kwao.wao wanahubiri injili ya mafanikio tu .mambo ya ndoa si shida.utafiti unaonyesha haya makanisa mapya yamevunja ndoa nyingi sana
Makanisa "ya sasa" ndio yapi hayo
 
Uvumilivu huwa unatafsiriwa vibaya sana, hata Mungu alituambia tuwe na kiasi.
Hizi lugha sijui ndoa ni uvumilivu, sijui mpaka kifo kitakapowatenganisha zimekuwa ndo kichaka cha baadhi ya wanandoa (hasa wanaume) kufanya maovu wakijua hakuna kuachana...
 
Huyu Daudi ndo aloingiza hela kwenye akaunti ya Flora kabla ya kuachana na mume wake! Hilo iliingizwa tokea mwanza na Flora kuhama hotel ya Kings Ways Morogoro! Akasingiziwa Askofu Kwajim! Mambo hayo!
 
Vip yule aliyesababisha ile ndoa ikavunjika naye kaachana naye au itabaki kwa nyumba ndogo!
 
Lakini namshauri yy wakati anataka kuzindua albam yake mpya asitumie jina la mme wake akitemsaliti kwani hili jina ni bland kuwa sana!
 
Naye anaandika Historia ya kuvaa shela mara mbili, huku mume wa kwanza akiwa hai, Historia hii pia iliwahi kuandikwa na Joyce Kiria alipofunga ndoa mara ya pili na Kilewo.
Kiria moja ilikuwa kanisani nyingine bomani
Huyu nahisi zote ni kanisanj
 
Hebu someni maandiko vizuri najua alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe isipokua kifo au uzinzi so ukithibitisha mwezako anachepuka talaka tu ingawa Mungu haipendi kwakua hapendi kuachana.
[emoji106]
 
Mchungaji fulani aliwahi kuuliza kuwa kwa nini baadhi ya wanaume wanapenda kula makombo? Hivi hawaoni kinyaa? Mwanaume mwenzako anatupa na wewe unafurahia kuokota makombo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we ukisema cha nn kuna mwenzio anajiuliza atakipata ln
 
Yoote kenda kumi ninawaonea huzuni mliokuwa mnamsingizia Gwaji kuwa ndiye kavunja ndoa ileee. Jamani, wekeni akiba maneno. Haya, aliyempa kinda huyooo kajitokeza hadharani.
Nilipo soma jina daudi nkadhani anamalizia yuleee wa kolomije. Lakini yule ni bingwa wa kubadili majina, mbona hata uwanja wa harusi ni The Rock City?? Nawaza tu lakini.
Hongera Flora, kwa kulitukanisha hili jina lipitalo majina yoote. Jina la Yesu Kristo Mnazareti. Ole ni wake huyo mchungaji mwenye moyo mgumu kihivyo wa kumpa mkono wa kheri mzinzi huyo.
Lakini pesa sabuni ya roho. Kama ilivyo kilainishi ni muhimu kwenye mitambo, pesa pia ni kilainishi kwenye vikwazo vya kiroho. Watumishi, mmefikwaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…