PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Ohooo!!!kosea kuoa ujikute unaishi na adui yako chumba kimoja
na mie ni bikraWalitoa ushuhuda.
wakati wakitoa historia ya penzi lao 'tamu' na 'tukufu' katika gazeti kipindi walipotimiza miaka kumi ya ndoa,waliipa jina 'miaka kumi ya ndoa bila DOA'.
Bikira Evelyn salt....ahahahahhaha. samahani mkuu..naomba kujua una bikra ya sehemu gani mwilini mwako .na mie ni bikra
Anajua munguIla walikutana Flora akiwa Bikra kabisa....
Ha ha ha....usitake nicheke kinyume na maumbile nikakamatwa bureena mie ni bikra
pole sana.Yaani ukikosea hapo utapata kovu la milele, yamenikuta Mimi...
tusi muhukumu huyu Binti bali tumwombee. Mambo mengine niyakoroho na siyo ya kimwili.
Mwanamuziki wa Injili nchini, Flora Mbasha amesema kuwa watu wamuache na maisha yao kati yake na Mbasha kwani mapenzi ni kitu binafsi kati ya watu wawili na anaishi kama anavyotaka na sio kama watu wanavyotaka aishi
Amedai kuna watu wanajifanya wanamjua maisha yake kuliko yeye na kumbe sivyo, pia kwa sasa anataka afahamike kama Madam Flora na sio Flora Mbasha kwa kuwa kuna talaka ipo kwenye process
Hapo ndio naamini ndoa ni zaidi ya BikraIla walikutana Flora akiwa Bikra kabisa....
hahahahahahahahah jf mmenishinda tabiaHa ha ha....usitake nicheke kinyume na maumbile nikakamatwa buree
Ya kwangu yananishinda;nitaanza kuyaombea mahusiano ya Flora Mbasha!Miaka kumi tu ya ndoa akafanya sherehe na Tamasha kubwaaa!Ndio ajifunze sasa kumshukuru Mungu kimya kimya sio kudolishiatusi muhukumu huyu Binti bali tumwombee. Mambo mengine niyakoroho na siyo ya kimwili.
Tumwombee Mungu amsaidie kwamba kila jambo baya shetani yupo nyuma yake.
Talaka hata akipewa na kuachana na ndugu hiyo siyo mwisho wa matatizo ikiwa shida niyakiroho.
Unajua tena kadri maisha yanavyozidi kuwa magumu,Watanzania tunakuja na matusi mapya[emoji2]hahahahahahahahah jf mmenishinda tabia
Unajua watu huwa wanasahau, unapojisifu sana shetani anajipanga akuvuruge sasa baada ya mtu luendelea kuwa mtii kwa Mungu ujuaji unakua mwingiii, ndio hivyo. Ila ndoa zina shida sanaaWalitoa ushuhuda.
wakati wakitoa historia ya penzi lao 'tamu' na 'tukufu' katika gazeti kipindi walipotimiza miaka kumi ya ndoa,waliipa jina 'miaka kumi ya ndoa bila DOA'.
Ndoa zina mengi. Huwezi jua nini kilimsibu mpaka kuamua alichoamua. Kumbuka naye ni binadamu na kuimba nyimbo za injili hakumpi kinga ya masahibu ya ndoaniKama mwanamuziki wa nyimbo za injili alipaswa kuwa mfano mzuri ila kwa anayoyafanya namshauri aachane na muziki wa injili aimbe nyimbo za kidunia tu maana huko ndiko anakofaa.
Dah... Bikra hizi home made? [emoji13] [emoji13]Ila walikutana Flora akiwa Bikra kabisa....
Wakuache vip? Lazima uchambuliwe na ufanyiwe discusses ya hatari sana, kwa kuwa ni super star [emoji93]
Mwanamuziki wa Injili nchini, Flora Mbasha amesema kuwa watu wamuache na maisha yao kati yake na Mbasha kwani mapenzi ni kitu binafsi kati ya watu wawili na anaishi kama anavyotaka na sio kama watu wanavyotaka aishi
Amedai kuna watu wanajifanya wanamjua maisha yake kuliko yeye na kumbe sivyo, pia kwa sasa anataka afahamike kama Madam Flora na sio Flora Mbasha kwa kuwa kuna talaka ipo kwenye process
kwenye kiapo tunaapa hiviDuh, ndoa ya kanisani hii imefika hapa. Tumshirikishe Mungu kwenye ndoa jamani. Mzee aliondoka na upako wa ndoa yao nini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Ila walikutana Flora akiwa Bikra kabisa....