Florah Mbasha: Mimba niliyonayo ni ya Mume wangu sio ya Gwajima

Florah Mbasha: Mimba niliyonayo ni ya Mume wangu sio ya Gwajima

Mapengo 17

R I P
Joined
Mar 28, 2014
Posts
1,229
Reaction score
610
SIKU chache baada ya minon'gono kuibuka chini chini kuwa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini Tanzania ambaye pia ni Mke wa Emmanuel Mbasha, kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na Mchungaji wa Kanisa la kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima ameibuka na kukanusha madai hayo.

Akijibu maswali ya mashabiki wake wakati akichati moja kwa moja 'live' kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV katika kipengele cha Kikaangoni Live kinachofanyika kila siku ya Jumatano kuanzia saa Sita kamili amesema kuwa hawezi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu ambaye ni ndugu yake hivyo Mchungaji Gwajima ni mjomba wake na si mpenzi wake kama ambavyo watu wamekuwa wakizungumzia suala hilo kwa kile alichodai ni baadhi ya watu wanaotaka kumchafulia jina na hadhi aliyo nayo.
kumshushia hadhi."Hayo ni maneno tu ya watu mtaani ila Mchungaji.

Gwajima ni mtumishi wa Mungu na ni uncle wangu ninawezaje kuwa na mahusiano na uncle wangu..? "Alihoji Flora.

attachment.php


Muimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania, Florah Mbasha, akichat Live leo katika ukurasa wa Facebook wa EATV.

Akijibu maswali ya mashabiki wake ambao wengi wao wakimtaka aeleze ukweli juu ya ugomvi uliopo kati yake na Mumewe au ni skendo tu za magazeti, ambapo aliweka wazi kuwa kuna vyombo vya habari ambavyo vimekuwa na lengo la kumchafua na kumualibia sifa ndio maana walitumia gharama kubwa kufanya wanavyoweza ili kutimiza malengo yao,mbasha amedai kuwa alimua kukaa kimya kwa kuwa hakukuwa na ukweli wowote.

"Hizo stori mnazosikia hazina ukweli wowote na ndio maana niliamua kukaa kimya sikutaka kujibizana kwenye vyombo vya habari kwa uongo wa baadhi ya magazeti ya udaku ila ninasikitika sana kwani kuna watu wamekaa na kujipanga kisawa sawa kwa ajili ya kuhakikisha wanaharibu huduma yangu kwa gharama zozote, lakini bado ninasonga mbele kwani mwanzilishi wa huduma yangu ni Mungu na huyo ndiye atakayeimaliza na sio mwanadamu. hata hivyo ninawashukuru kwa kuwa wamenitabilia nkuja kumiliki jumba na magari ya kifahari ingawa yote ni ubatili"

Adai hajaachana na Mbasha

Flora Mbasha amesema kuwa watu wengi wanasema kuwa ameachana na Mumewe kisa Gwajima hilo swala halina ukweli wowote hajaachana na Mbasha sababu ya Gwajima na amedai kuwa bado anampenda sana ila anampenda Mungu zaidi.

bali amekuwa na matatizo katika ndoa yake kati yake na mumewe na ni matatizo yao ya ndani ambayo asingependa kuyaweka wazi katika vyombo vya habari maana kufanya hivyo ni sawa na kumvunjia heshima mumewe,maana mambo ya chumbani ni siri yao wenyewe asingependa kuwa wazi sababu wanamtoto mkubwa sasa.

"Sijamwacha mume wangu sababu ya Gwajima na kweli bado napenda sana Mbasha lakini nampenda zaidi Mungu"

Wakati anazungumzia suala hili Flora ameweka wazi kuwa kwa sasa ni mjamzito na ujauzito huo ni wa Mume wake ambaye ni Emmanuel Mbasha, maana ameishi naye katika ndoa zaidi ya miaka kumi na katika kipindi chote hicho hajawahi hata siku moja kumsaliti Mumewe.


 

Attachments

  • Flora mbsha.jpg
    Flora mbsha.jpg
    19.2 KB · Views: 7,911



Flora%20mbsha.jpg

Muimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania Flora Mbasha akichat Live katika ukurasa wa Facebook wa EATV.


Nina Mimba ya Mbasha sio Gwajima -Flora Mbasha
Muimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania ambae pia ni Mke wa Emmanuel Mbasha amefunguka na kusema kuwa hana mahusiano yoyote ya kimapenzi na na Mchungaji wa Kanisa la kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima,
Flora amesema hayo leo alipokuwa akichat Live kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV katika kipengele cha Kikaangoni Live kinachofanyika kila siku ya Jumatano kuanzia saa Sita kamili.


Flora amesema kuwa hawezi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu ambae ni ndugu yake hivyo Mchungaji Gwajima ni mjomba wake na si mpenzi wake kama ambavyo watu wamekuwa wakizusha kwa lengo la kumchafua na kumshushia hadhi."Hayo ni maneno tu ya watu mtaani ila Mchungaji
Gwajima ni mtumishi wa Mungu na ni uncle wangu ninawezaje kuwa na mahusiano na uncle wangu..? "Alihoji Flora.
wakati akijibu ya maswali ya mashabiki ambayo mengi yao yalikuwa yakimtuhumu na huku watu wengi wakitaka kujua ukweli juu ya ugomvi uliopo kati yake na Mumeo kama ni kweli au ni skendo tu za magazeti,Flora aliweka wazi kuwa kuna vyombo vya habari ambavyo vimekuwa na lengo la kumchafua na kumualibia sifa ndio maana walitumia gharama kubwa kufanya wanavyoweza ili kutimiza malengo yao,mbasha amedai kuwa alimua kukaa kimya kwa kuwa hakukuwa na ukweli wowote.


"Hizo stori mnazosikia hazina ukweli wowote na ndio maana niliamua kukaa kimya sikutaka kujibizana kwenye vyombo vya habari kwa uongo wa baadhi ya magazeti ya udaku ila ninasikitika sana kwani kuna watu wamekaa na kujipanga kisawa sawa kwa ajili ya kuhakikisha wanaharibu huduma yangu kwa gharama zozote, lakini bado ninasonga mbele kwani mwanzilishi wa huduma yangu ni Mungu na huyo ndiye atakayeimaliza na sio mwanadamu. hata hivyo ninawashukuru kwa kuwa wamenitabilia nkuja kumiliki jumba na magari ya kifahari ingawa yote ni ubatili"


SIJAACHANA NA MBASHA KISA GWAJIMA
Flora Mbasha amesema kuwa watu wengi wanasema kuwa ameachana na Mumewe kisa Gwajima hilo swala halina ukweli wowote hajaachana na Mbasha sababu ya Gwajima na amedai kuwa bado anampenda sana ila anampenda Mungu zaidi. Bali amekuwa na matatizo katika ndoa yake kati yake na mumewe na ni matatizo yao ya ndani ambayo asingependa kuyaweka wazi katika vyombo vya habari maana kufanya hivyo ni sawa na kumvunjia heshima mumewe,maana mambo ya chumbani ni siri yao wenyewe asingependa kuwa wazi sababu wanamtoto mkubwa sasa.
"Sijamwacha mume wangu sababu ya Gwajima na kweli bado napenda sana Mbasha lakini nampenda zaidi Mungu"

Wakati anazungumzia suala hili Flora ameweka wazi kuwa kwa sasa ni mjamzito na ujauzito huo ni wa Mume wake ambae ni Emmanuel Mbasha maana ameishi nae katika ndoa zaidi ya miaka kumi na katika kipindi chote hicho hajawahi hata siku moja kumsaliti Mumewe na kwenda kwenye michepuko hivyo huo ujauzito ni wa Mume wake Emmanuel Mbasha na siyo Gwajima.
 
Mie naona tukubaliane na alichokisema kwani hayo yametokea kwake so!!!!!
 
Mmmmmmhhhhhh!! Mtihani mkubwa huu,mbona inadaiwa kuwa amekaa hotel muda mrefu yaani miezi na miezi, meaning that hawajakatikiana muda mrefu,kameingiaje hako ka jamaa tumboni?ni kwa uwezo wa roho mtakatifu? Inawezekana ugomvi ni sababu inadaiwa mimba huwa zinawapa wanawake mabadiliko ya kisaikolojia,je ndio chanzo ya kutoelewana na sasa flora kaizoea mimba na akili zimeanza kumrudi?
 
Mmmmmmhhhhhh!! Mtihani mkubwa huu,mbona inadaiwa kuwa amekaa hotel muda mrefu yaani miezi na miezi, meaning that hawajakatikiana muda mrefu,kameingiaje hako ka jamaa tumboni?ni kwa uwezo wa roho mtakatifu? Inawezekana ugomvi ni sababu inadaiwa mimba huwa zinawapa wanawake mabadiliko ya kisaikolojia,je ndio chanzo ya kutoelewana na sasa flora kaizoea mimba na akili zimeanza kumrudi?

mkuu hii series kali sana sisi tuendelee kuifuatilia tu.
 
mkuu hii series kali sana sisi tuendelee kuifuatilia tu.

Najua mtu mzima mbasha mikono kichwani kwa mshangao, dogo yuko tumboni halafu wazazi wamemwaga mboga na ugali,au flora anaitumia kama teknik ya kumrudisha kamanda, yaani dogo yuko center anawavuta wazazi, miracles do happen, tusubiri series ya flora mbasha na mumewe wakiwa klinic pamoja, coz kila mmoja anasema ...mimi bado nampenda...wachukue uamuzi kabla shetani hajachukua senta steji, shetani mwenyewe ni mahakama,baba kijacho in case kasokomezwa segere matata for life
 
Mmmmmmhhhhhh!! Mtihani mkubwa huu,mbona inadaiwa kuwa amekaa hotel muda mrefu yaani miezi na miezi, meaning that hawajakatikiana muda mrefu,kameingiaje hako ka jamaa tumboni?ni kwa uwezo wa roho mtakatifu? Inawezekana ugomvi ni sababu inadaiwa mimba huwa zinawapa wanawake mabadiliko ya kisaikolojia,je ndio chanzo ya kutoelewana na sasa flora kaizoea mimba na akili zimeanza kumrudi?

ulilanae hotelini ukasema yukomwenyewe sikuzote?

utujuaje mumewe alikuwa anabrush hotelini
 
Anatuzuga kwa vile anajua hatuwezi kuipima hiyo Mimba ya Gwajima kwenye test ya DNA, ngoja photocopy ya Gwajima mzee wa chopa itoke tuone. Vipi kuhusu kununuliwa Prado na Gwajima amesemaje? Au ndio hizo anazoita ndoto zinatimia. Namuonea huruma sana Emma Mbwasha, Kama kuna mwana JF ana kile kibao cha "wanaume tumeumbwa mateso" akitupie hapa kiniburudishe na jamaa yangu Bujibuji
 
Daaah.. Shigongo anafanya biashara kiulainiii... We ngoja uone headlines za magazeti penda ya week hii nzima..
 
Back
Top Bottom