gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
af sasa sijui kwann watu hatuwazagi vile itupasavyo kuwaza. unajua iko hivi, Mungu anasema hivi mtu asitaliki isipokuwa kwa mambo ya uasherati. Lakin Mungu mhuyo huyo akasema samehe jiran mara saba ya sabini manake ikiwa yeye husamehe makosa yetu yaliyo mengi kiasi hiki whay not sisi wanadamu kusamehe?Du!
Maneno mazito hayo mkuu!
Ila you hit the nail on the head!!!!!!
sasa basi hapa Emma atalazimika kusamehe tu ikiwa nataka kutengeneza mambo yake na Mungu, na hata kama mke kaipata mimba hatian atatakiwa kusamehe tu, na akijiingiza kwenye mtego wa kutaliki tayari ameshatenda kosa mbele za Mungu la kutengenisha alichokiunganisha Mungu na pia la kumuacha mke wa ujana wake, lakin pia la kutesa roho ya mwanae ambayo ataipandia laana ya kuhitaj ukombozi mbeleni.
kwa haya yote Emma anatakaiwa asamehe kisha aombe toba ya ukweli mbele za Mungu af afanye sala ya ukombozi kwa wanae maisha yaendelee manake kosa lipo lkin haliwez kubadili ukweli kwamba wote hawa ni binadamu na wamekosea kwa namna ya kibinadamu. utakuwa ni unafiki sana kusema ni shetan kwatega kwasababu wote wawili wametegwa na tamaa zao na siku zote tamaa huzaa dhambi na dhambi mshahara wake ni mauti.
ni kwa mtazamo wangu tuuuu na silazimishi iwe hivi msije mkanitupia mawe buree