hapo wamemuonea Tenga anajitakasa
Unaweza kuta vyombo na CD zilijaribiwa na zilikuwa safi, lakini mwendesha mitambo alichefuliwa na ujio wa JK kiwanjani hapo na kugawiwa kwa vipeperushi vya CHAGUA CCM, CHAGUA KIKWETE na ndio maana akaamua kumuhujumu!!
Heshima kwako King of King,
Mkuu ungefafanua ingesaidia kujua Tenga kajitakasa vipi ?.Mkuu wadhifa wa rais wa TFF ni sawa na wadhifa wa mwenyekiti wa bodi hawajibiki na shughuli za utendaji za kila siku pengine pengo la katibu mtendaji[mtendaji mkuu] Bwana Mwakalebela linaweza kuchangia itilafu iliyojitokeza.
Kaijage unajua wa kumpigia Kura yako Oct 31!
MOD unganisha thread zipo mbili.
umeona eeeh hata alipokuja na brasil ikakataa kuimba y him??
TFF nawashauri mechi ijayo ya Stars wasimualike tena JK kwa sababu ana gundu, wamualike DK SLAA awe mgeni rasmi, wakiendelea na JK hatutashinda kamwe na CD zitagoma kila mechi.