Naamini Tume or whatever .....ili mradi Vichwa vinavyotakiwa kupasha ....Vichungulie pamoja na mambo mengine michakachuo katika nyanja zifuatazo :-
1) Timu ya Taifa iweke au iongeze nafasi ya kushaulika,hususani by wadau wakuu.... IkumbukWe Timu yoyote ni mjumuiko wa Kocha,Wafadhili,Wachezaji,mashabiki,wapinzani,na NAWEKA nafasi moja ya Wachezaji wa zamani .....wadau wote hawa wana nafasi sawa za kusikilizwa Ushauri wao.
2)_Mikakati ya muda mfupi na muda mrefu iwekwe ili timu iwe ya ushindi.... Kushinda ikumbukwe ndilo lengo letu.
Katika mikakati ya muda mfupi sehemu kubwa ya wadau wotE inajua nani anayemudu namba fulani as at today kuliko wote.
Tunaweza kuanzia hapo kumodel Killer Squad !
Mikakati ya muda mrefu,inaweza kutumika kumodel Timu ya baadaye.
TUNATAKIWA KUFANYA MASHAMBULIZI HAYA KWA PAMOJA.
3) Nadhani Uzalendo kwa wadau wote uwe dira yetu Kuu...Tuweke nyuma mambo yote yanayohusisha Ubinafsi,ubabaishaji,kutowajibika,upotoshaji,ulegevu .... Si mnajua hayo yote ni adui wa timu yoyote duniani !
Maana Wahenga husema mshika mbili moja humponyoka.
Let us be a team Please .....Tunataka bao..