It is high time acha waanze na hicho kishoia na hao wakina tenga natumaini wako njiani. Kinachowaponza ni 10% wanatutia aibu kabisa, tazama wakati wa mechi ya brazil unaona kwenye screen desktop ya computer ya mtu, uwanja wa kisasa tabia za kishenzi. Hiyo mechi ya juzi hata wenye VVIP tickets hawakuweza kukaa kwenye nafasi zao eti zimekaliwa na watu na hapo njiani watu wamejaa vibarabarani, sehemu ya 'non smokers' watu wanavuta mpaka bangi, polisi waliokua wanagombana na watazamaji wamepotea mara tu mechi ilipoanza. Vyoo yavieleweki hao watu waliokaa milangoni ni shida shida shida hawajua lolote wanaendeleza umamluki wa vilabuni. Unataka kuniambia Tenga hajui hayo? kazi kugawana tenda tu na kututia aibu, hebu fikiria yale mangunzo pale uwanjani yule mchezaji wa moroco kaanguka nalo. These people are not serious wanachojua ni kusubiri kualikwa Ikulu kula na raisi. Sasa kwa nini hatua hazikuchukuliwa wakati wa mechi ya brazil? Tenga na kundi lake wanashindwa kuwaelimisha watanzania wanawaacha wanafanya mambo ya ajabu, wimbo wa taifa wa morocco unapigwa watu hawasimami wala kunyamaza, timu wageni wanaignia uwanjani watu wanazomea, jamani tuna laana gani? Toa Leodgar Tenga toa takataka zote hizo recruitment ifanyike properly kwa management ya uwanja wa kimataifa hivi hawaoni viwanja vya wenzetu vinavyohudumiwa? nimekua na very low opinion na Tenga sasa huo ndio usomi? kazi kujipendekeza kwa JK crap kabisa wasimamishwe wote na huyo florian asirudi kabisa tumechoka na migogoro yake na waandishi wa habari za michezo, hatumtaki kabisa.