Florian Kaijage apigwa chini TFF

Je wafanya kazi wa TFF kugawa vipeperushi vya Chama cha Siasa?
 
hata kama tenga angekua competent vipi, michezo kwa wabongo ni last option, na hata wadau wake hawako serious... chunguza kuanzia kamati za soka, vilabu nk.... soka la bongo uswahili mwingi na fitna

Tenga was not even supposed to be there in the first place
 
Adhabu aliyopewa inamfaa sana mambo ya kutiana aibu mpaka haya ..utadhani hakuwa na taarifa ya match na kufanya maandalizi
 

Uko sahihi sana Acid wabongo tunapenda sana longolongo vitendo hafifu..
Sijui kama iko siku tutafanya vizuri ,
 
Kwa uzito wa jambo lenyewe Tenga alitakiwa aachie ngazi yeye! Tungemrudisha kwa heshima baadaye!!! lakini kuonyesha alichukizwa yeye ndiye alitakiwa aondoke.
Kasheshe, you are right. Kwa aibu hii mbele ya Rais wa nchi, Tenga mwenyewe alitakiwa ajiuzulu. Ingekuwa sawa kumuwajibisha Kaijage kama yeye tenga angekuwa amegundua hiyo itilafu kabla ya kuaibika mbele ya umma.
 
Tenga na kundi lake wanashindwa kuwaelimisha watanzania wanawaacha wanafanya mambo ya ajabu, wimbo wa taifa wa morocco unapigwa watu hawasimami wala kunyamaza, timu wageni wanaignia uwanjani watu wanazomea, jamani tuna laana gani? .[/QUOTE]

Mndondo mengine yote nakuunga mkono lakini hili la kuzomea umechemka (kwa mtazamo wangu). Inaonekana wewe sio mfuatiliaji sana wa soka sababu haya mambo ya kuzomea yapo sana, Africa na hata Ulaya katika Ligi kubwa, na tena hao waarabu ndio mabingwa wa hii kitu na ni moja kati ya silaha yao kubwa inayofanya wanashinda mechi za nyumbani..wanazomea na kupigia kelele visiting team mpaka wachezaji wanaogopa na kushindwa ku-concentrate. Sisi wabongo tunashindwa kutumia advantage ya home ground kwa sababu hatujui vitu kama hivi,hata ile zomea ya siku ile ilikuwa ndogo sana na baada ya kama dakika 15 wakapoa kabisa Moroco wakajiona kama wako home wakaanza kucheza game,you could see mwanzoni wa game walikuwa wamepoteana sababu ya zomea zomea. Tulihitaji KUZOMEA ZAIDI YA PALE, TENA , MWANZO MPAKA MWISHO KILA MOROCCO WANAPOGUSA MPIRA.
 
Kaijage kafanywa scapegoat. Thew whole of TFF should resign sioni wanachokifanya. The whole saga was TFF's fault na sielewi Tenga anapomuajibisha one member wakati its a collective responsibility. I wish TFF wangekuwa wanapigiwa kura kama wabumbe ndo wangekiona cha mtema kuni.
 
Tanzania bwana ni zaidi ya uijuavyo yaani hadi wimbo wa taifa kushindwa kucheza kisa hiki nacho eti kinaundiwa tume ya uchunguzi bongo bwana kila kitu tume mwishowe tutasikia wameunda tume kuchunguza uchafu wa vyoo uwanja wa taifa:A S 112:
 

point of correction: Hajafukuzwa ila amesimamishwa kazi
 
Lakini kiukweli kaijage hata waandishi wenzake walishamuona siye yule aliyeanzia kazi pale Habari co'Maana alibadilika kabisa lakini atajifunza jinsi yakuishi na watu hata kama ukipata madaraka vipi!!Hapa kinachomponza kaijage nikutofatilia majukumu yake yawezekana alitoa maagizo lakini hakufatilia au alikuwa busy na mapato ya mlangoni ambalo ndotatizo kuu!!lazima walitakiwa watest in low volume kwanza then wajihakikishie inafanya kazi sasa hii aibu kwakikwete na dunia nzima!!tazama picha!!Tenga anaelekeza,Bendera mdomo wazi aamini kinachoendelea jk butwaa!!:A S 13:
 

Attachments

  • 12102010164.jpg
    363.2 KB · Views: 42
***** *****:

1. Kwanza kabisa mchezo ni kati ya Tanzania na Morroco (sio Egypt) - inaonekana una jazba na umekurupuka

2. Florian Kaijage hajafukuzwa bali amesimamishwa kazi - lazima ujue tofauti kati ya mambo hayo mawili

3. Pia unaonyesha wewe ni CCM maana unaona mtu kuwajibishwa sio sera ya CCM

4. Florian Kaijage sio tu kusimamishwa ningekuwa mimi ni Tenga ningesitisha ajira yake mara moja. Maana katika mpango kazi (action plan) wa mchezo FK alipangiwa jukumu la mawasiliano yote ya mchezo ndani na nje ya uwanja. Kikao cha mwisho kabla ya mchezo kupitia mpango kazi huo FK alijibu kuwa kila kitu kipo tayari - sasa unataka Tenga aende kuangalia CD ??

5. Nampongeza Tenga kwa hatua hii na nakuhakikishia inatkiwa kuigwa na JK pamoja na CCM.
 

Wabongo bwana kila kitu kinaundiwa sijui tume/timu,si ajabu na uchafu wa vyoo vya uwanja wa taifa na vyenyewe vikaundiwa tume pia bongo bwanaa mhhhhhh
 
Kwani lazima tucheze tape(CD), kwani hatuwezi kuimba live nyimbo za taifa? Nakumbuka zamani jeshi la police walikuwa wanatufanyia hiyo kazi na wote mnafurahi. Ukiwauliza TFF watakwambia gharama ni kubwa! Aibu tuliyoipata si ndo kubwa zaidi?
 
....wanamsimamisha kibarua? Mkataba wa Kaijage si ume-expire katikati ya mwezi uliopita? hata kama mimi ndi ningekuwa fundi mitambo ningeikwamisha...iwaje watu kwa pesa zao, kwa starehe zao wanaenda kuishangilia timu ya TAIFA wao wanaleta mambo ya u-CCM? %*&&*^%^&*^*& 8*^&*&^*^*&^*&^*zao!!!!
 


Ruta ndugu yako akiguswa lazima ulalame Tenga hana kosa Kaijage kapewa jukumu kashindwa kulisimamia unakimbilia kumsukumia mzigi wa ndugu yako kwa watu wengine.
 
Upuuzi mtupu. Wanajaribu kutupooza kwa kumsimamisha Kaijage ambaye katolewa kafara wakati wenye makosa ni wao weneyewe. Tenga ndiye anayetakiwa kujiuzulu kama mwenyekiti wa kwani TFF ndio walioharibu sio Kaijage peke yake.
 
Kwani lazima tucheze tape(CD), kwani hatuwezi kuimba live nyimbo za taifa? Nakumbuka zamani jeshi la police walikuwa wanatufanyia hiyo kazi na wote mnafurahi. Ukiwauliza TFF watakwambia gharama ni kubwa! Aibu tuliyoipata si ndo kubwa zaidi?
Teknolojia imewekwa uwanjani kwa kazi gani ikiwa kila mara lazima tusombe bendi za Polisi, JKT, Jeshi kuja kupiga nyimbo za mataifa kwenye mechi za mpira? Imepitwa na wakati hiyo. Hao watakuja kwenye sherehe za kitaifa au za kijeshi. Kaijage anastahili yaliyomkuta. Mark you, hiyo siyo adhabu. Ni kumfanya apumzike ili uchunguzi ufanyike. We are fed up with mediocrity in every corner and crevice.
 
Tenga na kundi lake wanashindwa kuwaelimisha watanzania wanawaacha wanafanya mambo ya ajabu, wimbo wa taifa wa morocco unapigwa watu hawasimami wala kunyamaza, timu wageni wanaignia uwanjani watu wanazomea, jamani tuna laana gani? .

Mndondo mengine yote nakuunga mkono lakini hili la kuzomea umechemka (kwa mtazamo wangu). Inaonekana wewe sio mfuatiliaji sana wa soka sababu haya mambo ya kuzomea yapo sana, Africa na hata Ulaya katika Ligi kubwa, na tena hao waarabu ndio mabingwa wa hii kitu na ni moja kati ya silaha yao kubwa inayofanya wanashinda mechi za nyumbani..wanazomea na kupigia kelele visiting team mpaka wachezaji wanaogopa na kushindwa ku-concentrate. Sisi wabongo tunashindwa kutumia advantage ya home ground kwa sababu hatujui vitu kama hivi,hata ile zomea ya siku ile ilikuwa ndogo sana na baada ya kama dakika 15 wakapoa kabisa Moroco wakajiona kama wako home wakaanza kucheza game,you could see mwanzoni wa game walikuwa wamepoteana sababu ya zomea zomea. Tulihitaji KUZOMEA ZAIDI YA PALE, TENA , MWANZO MPAKA MWISHO KILA MOROCCO WANAPOGUSA MPIRA.[/QUOTE]
Labda kwa vile tunaimba amani na utulivu,zomeazomea kwa timu ngeni haiepukiki
 

TFF ni huru aingiliwi na serikali hivyo hiyo Toa yako lazima ifanywe na TFF wenyewe vinginevyo Tanzania itafungiwa
 
Upuuzi mtupu. Wanajaribu kutupooza kwa kumsimamisha Kaijage ambaye katolewa kafara wakati wenye makosa ni wao weneyewe. Tenga ndiye anayetakiwa kujiuzulu kama mwenyekiti wa kwani TFF ndio walioharibu sio Kaijage peke yake.

Tenga siyo Full time employee wa TFF. Mtendaji hapa ni Katibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…