Floyd Mayweather ajipongeza kwa ushindi

Huoni haya.

Eti unajifananisha kujua fashion kuliko Floyd.

Nadhani ww unamjua Floyd wa ulingoni tu Floyd wa nje ya ulingo humfahamu hata kidogo.
Mazee, nimeongea kitu very specific, kamaunapinga kuwa specific, siyokuja kijumla jumla kama biashara ya bei nafuu.
 
We unanitaka nitukane nipigwe ban sasa, Kiranga unacho wewe kuita watu majina si yao.

Mimi nimeongelea fashion, si fedha.

Unaweza kuwa na fedha zote duniani na usijue fashion, na mwenye fedha ndogo akajua fashion.
Ha ha ha ha.

Unachekesha sana kuna fashion gani au starehe gani unayoijua wewe Floyd asiijue???


Labda uniambie fashion uchwara ila sio fashion kwa maana yafashion

Huyo Floyd ni mdhamini pia ni mdau mkubwa sana wa masuala ya fashion hasa kwa upande wa kinadada huwa anawasapoti sana kazi zao kuliko hata unavyofikiria.


Kama vitu hujui tulia tuli ujuzwe usije ukaumbuka mbele za watu .
 
Aise wangejua ...kuna vingine tukiweka hapa watasema ni UONGO ...jamaa anakuambia kwamba yeye anafanya hivyo sababu anaonesha maisha yake halisi anayoishi, wengine wenye pesa wanafiki ukimuuliza hali vipi anakuambia mambo.magumu aise mambo yamekaza
Kwanza uzuri wa Floyd mjanja sana kwenye masuala ya pesa .

Huwa hapigani pigani hovyo ili kuwafurahisha mashabiki ,yeye huwa anaangalia pesa kwanza,kama inaridhisha anapanda ulingoni kama kawa.

Usishangae ukasikia kapanda tena ulingoni kupigana kama itatokea atapewa pesa ndefu kuliko hii aliyoipata dhidi ya McGregor.
 
Mbona habari niliyoitaja unairuka?

Kudhamini fashion ni habari ya kuwa na hela, hata wewe ukiwa na hela utadhamini fashion.

Floyd Mayweather anawezakuwa na hela lakini hana class na fashion.
 
Umeongea takataka tu.

Hizi unadhani hivyo visofa vyako vya laki tano vitalingana thamani na hayo ya Floyd?
Unaongelea vitu ambavyo huvijui, hujaviona, umeshavitajia bei.

Unadhihirisha unavyopenda ku assume.
 
Mbona habari niliyoitaja unairuka?

Kudhamini fashion ni habari ya kuwa na hela, hata wewe ukiwa na hela utadhamini fashion.

Floyd Mayweather anawezakuwa na hela lakini hana class na fashion.
Hana class na fashion?? [emoji50][emoji50][emoji50] dah haya bwana. Hahaa aise
 
Mbona habari niliyoitaja unairuka?

Kudhamini fashion ni habari ya kuwa na hela, hata wewe ukiwa na hela utadhamini fashion.

Floyd Mayweather anawezakuwa na hela lakini hana class na fashion.
Sijaruka kitu chochote .

Umedai kuwa Floyd ana pesa lakini haelewi chochote kuhusu fashion,ikabidi nikushangae kwa kweli.

Ndio nikakwambia humjui Floyd wewe.
 
Sijaruka kitu chochote .

Umedai kuwa Floyd ana pesa lakini haelewi chochote kuhusu fashion,ikabidi nikushangae kwa kweli.

Ndio nikakwambia humjui Floyd wewe.
Wewe fanboy, lazimautajivikakumjua mtu unayemsoma magazetini.

The boy is crass, he lacks class.

Do you know what that means?
 
haya funguka umenunua shilingi ngapi masofa yako.

Kama hujawa kituko humu.
Kwanza niombe radhi kwa kutaja bei ya kuokoteza hewani.

Halafu wewe na Mayweather wote mnasumbuliwa na umasikini, wa kufikiri uzuri wa kitu unapimwa na bei.
 
Hana class na fashion?? [emoji50][emoji50][emoji50] dah haya bwana. Hahaa aise
Akili hana huyu.

Kwa vyovyote hivyo visofa vyake havizidi laki tano

Tena mbaya zaidi hata material yaliyotumika kutengenezea ni ya hali ya chini sana.

Ingekuwa masofa yake ya gharama(1Mil+) asingekuwa na ubavu wa kuyatupa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…