Floyd Mayweather ajipongeza kwa ushindi

Floyd Mayweather ajipongeza kwa ushindi

Nilikuwa na makochi yanaonekana kama hizo seats nyeupe picha ya pili, nimeyatupa miezi michache iliyopita kuendana na fashion mpya.

Floyd Mayweather nimempita katika fashion, anatumia fashion nilizotupa miezi michache iliyopita.

For real.
Aise hongera mno...
 
Hahaha, umezibuka.

Hayo makochi yalinipa ujiko sana.Kuna mtoto mmoja wa Berkeley alikuwa anahusudu sana picha zangu nimekaa kwenye makochi hayo. Siku hizo yalivyokuwa kwenye fashion.

Halafu nikaonekana mtanashati ninayeweza kuwa na makochimeupe bilakuyachafua.

Hii fall rangi inayotawalani burgundy, nimebadilisha. Floyd ana hela lakini fashion hajajua bado.

Nimeshangaa mpaka Mrisho Gambo amejua rangiiliyo in sasa hivi, lakini Floyd hajajua.

pic+gambo.jpg
Picha ya huyu inafanya nini huku aise tuko beverly hills aisee ..tunazungumzia pesa aiseee...
 
Nilikuwa na makochi yanaonekana kama hizo seats nyeupe picha ya pili, nimeyatupa miezi michache iliyopita kuendana na fashion mpya.

Floyd Mayweather nimempita katika fashion, anatumia fashion nilizotupa miezi michache iliyopita.

For real.
Mkuu kiranga we endelea kumpinga Mungu tu ndio vitu unavyoviweza hivi vingine sio saizi yako.
 
Huyu bwana ni kama hata ushindi wake hua ni wa kimkakati hivi.ana ushindi wa kupangiwa akiwa kwenye pambano.ukitazama jinsi hua anapigana wala huwezi vutiwa nae au huwezi ona kama kweli ni mshindi wa pambano,huwezi mlinganisha na mtu kama Tyson,Mohamed Ali au mwingine ambae ni tishio anaitwa Antony Joshua.huyu Antony ukimtazama mapambano yake unaona hata angepambana na Tyson basi Tyson angefanya kazi sana kumshinda.lakini huyu Floyd Myweather ni mfano wa kina Matumla tu.ni kama aliingia mkataba na wapiga dili wa huko ulaya na utakuta pesa hizo zisiwe zake zote
Ficha ujinga wako.

Hakuna boxer yoyote mwenye skills za boxing anayemfikia Floyd Mayweather.


Hao ma heavyweights kinachowasaidia ni kwamba Ngumi zao nzito tu basi.


Na upande wa heavyweight mkali wao ni Rocky Marciano hao wengine wanapewa promo tu.
 
Hahaha, umezibuka.

Hayo makochi yalinipa ujiko sana.Kuna mtoto mmoja wa Berkeley alikuwa anahusudu sana picha zangu nimekaa kwenye makochi hayo. Siku hizo yalivyokuwa kwenye fashion.

Halafu nikaonekana mtanashati ninayeweza kuwa na makochimeupe bilakuyachafua.

Hii fall rangi inayotawalani burgundy, nimebadilisha. Floyd ana hela lakini fashion hajajua bado.

Nimeshangaa mpaka Mrisho Gambo amejua rangiiliyo in sasa hivi, lakini Floyd hajajua.

pic+gambo.jpg
Huoni haya.

Eti unajifananisha kujua fashion kuliko Floyd.

Nadhani ww unamjua Floyd wa ulingoni tu Floyd wa nje ya ulingo humfahamu hata kidogo.
 
Huoni haya.

Eti unajifananisha kujua fashion kuliko Floyd.

Nadhani ww unamjua Floyd wa ulingoni tu Floyd wa nje ya ulingo humfahamu hata kidogo.
Aise wangejua ...kuna vingine tukiweka hapa watasema ni UONGO ...jamaa anakuambia kwamba yeye anafanya hivyo sababu anaonesha maisha yake halisi anayoishi, wengine wenye pesa wanafiki ukimuuliza hali vipi anakuambia mambo.magumu aise mambo yamekaza
 
Ukikazana sana sana umeshinda biko au tatu mzuka ..dah...ukipanda juu zaid unaitwa mpiga dili unafunguliwa mashtaka
Ha ha ha ha.

Si bora ufunguliwe mashtaka.

Wanakujia watu wasio julikana kufanya yao.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu kiranga we endelea kumpinga Mungu tu ndio vitu unavyoviweza hivi vingine sio saizi yako.
We unanitaka nitukane nipigwe ban sasa, Kiranga unacho wewe kuita watu majina si yao.

Mimi nimeongelea fashion, si fedha.

Unaweza kuwa na fedha zote duniani na usijue fashion, na mwenye fedha ndogo akajua fashion.
 
Back
Top Bottom