Floyd Mayweather ajitolea kugharamia mazishi ya George Floyd

Go fund me ya Floyd ina zaidi ya $11Millioni

Go fund me ya mtoto wake wa miaka 6 ina zaidi ya $200,000.

Go fund me ya mdogo wa Floyd ina zaidi ya $300,000.

Go fund me ya ndugu mwingine wa Floyd ina zaidi ya $200,000.

Ukisikia kufa kufaana ndio huku.
 
Mtoa mada inabid uwe unafanya utafit kabla ya kupost.. maiweza ametoa 80000usd around 204 million tz. Sio billion kumi bna..
 
Mtoa mada inabid uwe unafanya utafit kabla ya kupost.. maiweza ametoa 80000usd around 204 million tz. Sio billion kumi bna..
Kijana wangu embu fuatilia tena kww umakini, news za Floyd ziko updated kila baada ya dakika 5, gharama za mazishi zimeongezeka na hio ni kutokana na kua watu wengi sana watahudhuria ikiwemo watu mashuhuri ulimwenguni kama Obama, Biden, Jay Z, na wengineo, hivyo yeye amejitolea kugharamia costs zote ambazo zimeshafikia hicho kiwango
 
Halafu baada ya mazishi,familia yake na watoto wanaendelea kuishi na umasikini,hapa ndio utakapojua ule usemi wa kila mtu na ale kwa jasho lake unapofanya kazi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bilioni kumi wanazika sayari ipi?
Taarifa ya kiinglishi haina costs, ila translation imekuja na 10B...things usually get lost in translation, hii 2020 things gained in translation...

Everyday is Saturday........................... 😎
 
Na tayari imeshagundulika kuwa alikuwa muathirika wa Covid-19,sasa hiyo hela si robo tatu angempa mke na watoto/mtoto wa marehemu na iliobakia ndio iingie kwenye mazishi,maana msiba hapo hakuna kutokana na nchi kuwa kwenye lockdown...
 
Halafu baada ya mazishi,familia yake na watoto wanaendelea kuishi na umasikini,hapa ndio utakapojua ule usemi wa kila mtu na ale kwa jasho lake unapofanya kazi...

Sent using Jamii Forums mobile app
nani kakudanganya mkuu, wamekwishachangiwa mabilioni hadi sasa, na bado kuna kesi zinaunguruma mahakamani, fidia zake zitakua si mchezo hao wameshakua matajiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…