BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Bondia Floyd Mayweather leo amerudi ulingoni dhidi ya Bondia Mjapan Mikuru Asakura katika pambano la maonesho la uzito huru lililochezwa Japan.
Katika pambano hilo Mayweather amefanikiwa kushinda kwa KO round ya 2 na kufanya pambo hilo limalizike, Mayweather kabla ya pambano hilo alikuwa amepigana jumla ya mapambo 50 na kushinda yote.
Mayweather alistaafu kucheza professional boxing 2017 na sasa amekuwa akicheza ngumi za maonesho mara kadhaa pale anapokuwa anahitajika.
Katika pambano hilo Mayweather amefanikiwa kushinda kwa KO round ya 2 na kufanya pambo hilo limalizike, Mayweather kabla ya pambano hilo alikuwa amepigana jumla ya mapambo 50 na kushinda yote.
Mayweather alistaafu kucheza professional boxing 2017 na sasa amekuwa akicheza ngumi za maonesho mara kadhaa pale anapokuwa anahitajika.