Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Mwanamasumbwi asiyepigika, Floyd Joy Money Mayweather hatimaye asilimu na kuwa muislamu.
Floyd amechukua uamuzi huo mara baada ya kufanya utafiti wa kina na kugundua uislamu ndio dini ya haki na ndio dini ya kweli.
Floyd anaungana na wanamasumbwi wengine kama vile Mike Tyson, na Muhammad Alli ambao nao waliamua kusilimu na kuwa waislamu.
TAKBEEER .
Floyd amechukua uamuzi huo mara baada ya kufanya utafiti wa kina na kugundua uislamu ndio dini ya haki na ndio dini ya kweli.
Floyd anaungana na wanamasumbwi wengine kama vile Mike Tyson, na Muhammad Alli ambao nao waliamua kusilimu na kuwa waislamu.
TAKBEEER .