Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unavyopenda udini sasa hapo umefikishwa kwa swahiba wako
Wapi nimeandika alikuwa mkristo?Hakuwa mkristo Bali alikuwa na jina la kikristo.ukristo ni kujikana kwa ajili Yesu na kuacha kutenda dhambi kwa makusudi.
America wanachukulia kama fsshion tu!. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.
Conor jeuri yote alinunuliwa na May, akalipwa chake hata alivyopigwa na May. Akaendeleza kanuni kununua game UFC.Tangu lini Floyd na Conor wakawa marafiki?
Conor ni mbaguzi sana ,kuanzia rangi, dini, mpaka utaifa.
Na bifu kubwa liliibuka kati yake na Khabibu kwa sababu ya kuutukana uislamu.
Ayatul munafiki thalatha...mnafiki siku zote akisema basi ni uongo na akiahidi basi hatekeleziNdani ya mwezi huu Ulimwengu umesimama kwa watu wawili maarufu Duniani Kuslmu na kuingia Dini ya Kiislamu.
1.Tyres now a muslmu
2. Maywether now a Muslmu
.............Continuer
Pogba hajawai kuwa mkristo zaidi ya jina lake na baba yake ambaye alifariki akiwa bado mdogoKama ambavyo Paul Pogba alivyouona Uislamu ndio njia sahihi kwake.
Aisee ulitembea mkong'oto uwanjani... Khabib alikuwa na hasira sana... Alitamani ile game iishe kwa kumpiga jamaa na asinyanyuke tenaConor jeuri yote alinunuliwa na May, akalipwa chake hata alivyopigwa na May. Akaendeleza kanuni kununua game UFC.
Hapa alikutana na kigongo tu ndo mana kapigwa kitoto tu anaongea sana. Alafu khabib hakukubali kununuliwa ndo hasira yote ile Conor kutupa matorori mara viti kwa gari ya kabibh.
Kisha kamalizwa kizembe tu mpk kaomba pooh.
Khabib katukaniwa babake marehem kafanyiwa kila dhihaka alisema TU mleteni huyu champion wenu atakula vibao shot kulia, shot kulia
Na mwambieni arudi kwenye boxing huku tutamvunja.
Ndo reaction ile, na Conor alichapwa mpk kajinyea pale. Na biff likaendelezwa kwa makochi na wapambe.
Na Connor akala ngumi pia vile vile za kushtukiza pale ulingoni toka kwa wana khabibh.
Ndo ujue we ukijua sana kuna wanaojua zaidi.
Usilete ufala,ufarani,ukapata ufara ukauliza ufarani kilo wapi ukaletewa ufara tena.
Chuga mpoo[emoji23][emoji23][emoji23]
tafadhali Sheikh wangu tusiitane Wanafiki, huko unapozitoa wewe taarifa kwenye hivyo vyanzo vya habari na sisi pia tunazitoa huko huko, kama ni wanafiki basi sote mimi na wewe ni wanafiki tu.Ayatul munafiki thalatha...mnafiki siku zote akisema basi ni uongo na akiahidi basi hatekelezi
Tyres juzi tu hapa mke wake amejifungua mtoto na kutwa nzima alikuwa ana mtaja Jesus na kumsifu sasa wewe taarifa hizi umezitoa wapi
Mayweather hajawai kusema amebadili dini ni uongo na unafiki yaani kwakutuwekea ivyo vipicha kavaa kanzu ndio tuamini amekuwa mwislamu
Yupo huko middle east katika campaign zake za kibiashara na kutalii ndio akatembelea huo msikiti
Ukiingia kwenye Insta page yake utaona mpaka jina ameutaja
Weka chanzo basi sio mapicha mapichatafadhali Sheikh wangu tusiitane Wanafiki, huko unapozitoa wewe taarifa kwenye hivyo vyanzo vya habari na sisi pia tunazitoa huko huko, kama ni wanafiki basi sote mimi na wewe ni wanafiki tu.
Weka chanzo basi sio mapicha mapicha
Tangu lini Floyd na Conor wakawa marafiki?
Conor ni mbaguzi sana ,kuanzia rangi, dini, mpaka utaifa.
Na bifu kubwa liliibuka kati yake na Khabibu kwa sababu ya kuutukana uislamu.