Floyd Mayweather kupanda ulingoni December 31 na Tenshin Nasukawa

Niliishamuona huyu jamaa kama mtengeneza pesa tu,menejiment inatafuta mpinzani yeyote ambaye yuko tayari kupiga pesa wanakaa naye mezani.

Zile bil 180tsh alizofunga mac gregor sio pesa ndogo,kwa usiku mmoja tu.
Sasa kumbe ulijua watu wanapigana ili kukomoana?
 
Hatimae mayweather amejitoa kupigana kwny hilo pambano la kickboxing lililotarajiwa kufanyika huko japan.
 
TMT atapigwa sababu hataweza combination na joints za huyo dogo
 
Niliishamuona huyu jamaa kama mtengeneza pesa tu,menejiment inatafuta mpinzani yeyote ambaye yuko tayari kupiga pesa wanakaa naye mezani.

Zile bil 180tsh alizofunga mac gregor sio pesa ndogo,kwa usiku mmoja tu.

Amesema kama amepata offer ya kutengeneza USD 300bn kwa dakika 36 , why not?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…