mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,544
how about speed/ rate ya Ngumi(japs) ya mayweather........itamsaidiaaa
Mkuu kwa spidi na combination ya japs myweather hamfikii Pacman.....sifa kuu ya mywether ni accurate punch na defense.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
how about speed/ rate ya Ngumi(japs) ya mayweather........itamsaidiaaa
Mkuu kwa spidi na combination ya japs myweather hamfikii Pacman.....sifa kuu ya mywether ni accurate punch na defense.
Wewe ni Manage wa Forest hill?
Kati ya hawa wawili kura yako inaenda kwa nani.!
Kwa kuangalia pozi zao naona "money paka wao" atapigwa na "money mwenye weza."
Kwani udhoefu wangu wa kuangalia mechi za akina Muhammad ally, George Foreman, Joe fraiser, Guerrero, Lenox lewis, Evander holyfield, Mike tyson, vitali Klistchiko na Ndugu yake, Bernard Hopkins, Floyd Money Maywhether- the money team(TMT)
Unanidhihirishia kuwa mabondia wanao panga stance kwa kuweka gloves zao karibu na vichwa huwa wanadonolewa sana makonde ya vichwa.
Tofauti na wanaoshusha mikono kwa chini.
Mifano yangu ni Muhammad ally alipompiga for men pale Congo, Bernard Hopkins bondia aliyestahafu bila kupigwa, Guerrero aliyebondwa na Floyd Maywhether mwana juzi..
But nikiangalia psychological defeat naona Paccuao ame-biti Maywhether mpaka sasa.
But I'm still number one fan of The Money Team.
Floyd Mayweather...namkubali sana huyu jamaa! Na ninamuomba Mungu wangu na Mungu wake hiyo siku ashinde japo hata kwa point tu.
The black cut
Floyd.. ana kipaji, Ana nguvu ana kasi, ana kismati ana yupo sharp.. ninaw imani nae sana
Binafsi Paccuao namsikia tangu zamani lakini sijawahi ona pambano lake kwa umakini. Japo nimewahi kuliona moja akiibuka mshindi.
Maywhether anajua ku concentrate na pambano. Huwa akili yake haiami ulingoni. Lakini ana ngumi za kasi na nyepesi(sio nzito).
Anatumia akili zaidi kuliko nguvu.
Anajiamini.
Hajawahi pigwa wala kutoka draw .
Umri wake ni Mkubwa kwa sasa.
Floyd.. ana kipaji, Ana nguvu ana kasi, ana kismati ana yupo sharp.. ninaw imani nae sana
Unatakiwa ubadili hii statement yako iko opposite na uhalisia kwa haya yote lkn kama unajua ngumi na umewafatilia hawa watu kwa umakini.
Pacquiao anasema wanae ndio wamampa motisha wa kupambana na Mayweather, wameulizia baba yao kwa muda(miaka) sasa kuwa lini ndondi...so mbinde inakuja sasa.
Siku hiyo atawafikiria wanae na kummaliza Mayweather. Mayweather sijafurahia ndondi zake mbili zilizopita.
Mywether is the best defensive boxer with accuracy punch without knock out power...pacman is the best offesive boxer with different style who has knock out punch power. Mywether akicheza kwa style yake ya shoulder role kama tulivyozoea atakumbana na kichapo kikali kutoka kwa pacman.....Kumbuka pacman anaweza kupiga combination hadi 6 kwa wakati mmoja kitu ambacho mywether hana.....pacman huwa anarusha konde lake la kushoto bila mpinzani wake kuona kwa haraka sana......hela yangu naiweka kwa pacman japo jamaa si mzuri sana kwenye kujilinda
Aione Remote, Darius na kende
Nikiangalia mapambano ya Pack Man hivi karibuni ameshinda ki magumashi sana. Kuna pambano moja na Mmexico mmoja kama sikosei alipewa ushindi wa kimagumashi sana. Pia ki uhalisia ameshuka sana tofauti na alivyokuwa mwanzoni.
Kwa upande mwingine wa Myweither yeye yupo constant kabisa. Yupo vizuri sana.
Wote nawakubali sana ni watu wanao tumia akili sana na ni wepesi. Kwa kuangalia mazingira ya mpambano hasa katika masuala ya malipo, venue nk Myweither Anashinda iwe kwa KO au Points.