Flyover ya Ubungo pekee imezalisha ajira za moja kwa moja 502, kati ya hao 449 wakiwa ni watanzania, Viva Rais Magufuli

Flyover ya Ubungo pekee imezalisha ajira za moja kwa moja 502, kati ya hao 449 wakiwa ni watanzania, Viva Rais Magufuli


Ndugu yangu hii ni furaha ya watanzania kwa jinsi Mheshimiwa Rais Magufuli anavyofanya Tanzania ionekane kam Ulaya. Alisema na kweli anafanya hivyo. Ubungo flyover imegharimu zaidi ya shilingi bilioni 230. Sasa foleni ya Ubungo byebye. Tena mradi unakamilika hata kabla ya muda uliopangwa wa Desemba 2020. Chadema kipindi hiki ambacho Lissu amefungiwa mpelekeni akaone Flyover ya Ubungo na miradi mingine aondoe stress. Aone pia Kigamboni bridge, Salander Bridge, Hospitali ya Mloganzila na Machinjio mapya ya nyama Vingunguti. Aone vizuri tena terminal 3 Airport, wakati anakuja hakuiona vizuri, naambiwa alikuwa na wasiwasi wa kukamatwa. Jirani na makazi yake hapo Mabwepande aone hospitali kubwa na ya kisas iliyojengwa kwa ajili ya Wilaya ya Kinondoni. Asisahau kuona Mradi wa umeme wa Kinyerezi 2 na ujenzi wa stand mpya ya mabasi Mbezi. Akiwa hapo mpitisheni Kisarawe aone mradi mkubwa wa maji. Orodha ni ndefu. Naamini baada ya hapo ataondoa stress na kutambua kuwa Mheshimiwa Magufuli anashughulika na maendeleo ya watu. Watanzania tunampa kura za kumwaga Rais Magufuli.
 
Huu mradi ni initiative ya bank ya dunia wakati wa Kikwete..Acheni upotoshaji

Si kweli mkuu. Mradi huu ulijadiliwa na utawala wa Rais Magufuli na World Bank na hatimaye World Bank ilisaini makubaliano na Mheshimiwa Rais Magufuli tarehe 20 Machi 2017 kuhusu mkopo wa mradi huu.
Kwa ushahidi zaidi, soma taarifa hiyo ya World Bank


DAR ES SALAAM, March 20, 2017 — Today World Bank Group President Jim Yong Kim announced that Tanzania will be able to access up to $2.4 billion in concessional financing over the next three years, an increase of half a billion dollars over previous allocations.

The additional resources will come from the World Bank Group’s International Development Association (IDA), the Bank’s fund for the poorest, which in December of last year received a record 18th replenishment of $75 billion. Approximately $45 billion of those funds will be invested in Africa over the next three years.

Because of Tanzania’s strong macroeconomic management and political stability as well as the overall growth opportunities in the country, Tanzania’s is one of the “scale-up countries,” meaning that in addition to concessional resources, they will be able to borrow additional resources on non-concessional terms that are lower than market rates.

Kim made this announcement during a ceremony in which he and Tanzanian President John Magufuli laid the foundation stone for the Ubungo Interchange in Ubungo District of Dar Es Salaam. The interchange will be financed under one of the three projects signed today, with a total value of $780 million.

The Ubungo Interchange is a critical piece of infrastrucure designed to reduce congestion at a key strategic gateway in Dar Es Salaam, and the next step in an ambitious effort to connect the Port of Dar Es Salaam to rural areas, industries, and the wider region.

Kim underscored the need to leverage private sector investment for infrastructure development as well as in job-creating industries for the estimated 800,000 young men and women entering the labor market in Tanzania each year.

“Investing in infrastructure has a significant multiplier effect, spurring growth in subsequent years,” World Bank Group President Jim Yong Kim said. “Right now there are trillions of dollars of capital in the developed world seeking higher returns. We see tremendous opportunities in developing countries for private sector investment in areas like infrastructure, which is crucial for jobs and growth. The key to unlocking this potential is through greater collaboration between the public and private sector to achieve each developing country’s highest aspirations.”

The Ubungo Interchange will be constructed under the Dar Es Salaam Urban Transport Project (DUTP) as a follow-on investment to the Second Central Transport Corridor (CTCP2) financed by the World Bank. The CTCP2 pioneered the establishment of the first phase of the Bus Rapid Transit (BRT) system in Dar es Salaam City.The DUTP will also finance Phases 3 and 4 of the BRT while supporting capacity enhancements for public transport institutions.

Dar es Salaam has a population of 4.4 million and is growing at a rate of 6.5 percent per year. It is expected to achieve megacity status before 2030. The Ubungo Interchange is expected to reduce congestion, improve travel time, and decrease costs for commuters and commercial consumers.

Kim and President Magufuli also signed the financing agreements for the $225m Second Water Sector Support Project (WSSP2), and for the $130m additional financing for the Tanzania Strategic Cities Project. The WSSP2 will support the strengthening of capacities for integrated water resources planning and management in Tanzania, as well as improve access to water supply and sanitation services in Dar es Salaam. The Tanzania Strategic Cities Project will finance an upscaling of infrastructure in eight cities across Tanzania.
 
Si kweli mkuu. Mradi huu ulijadiliwa na utawala wa Rais Magufuli na World Bank na hatimaye World Bank ilisaini makubaliano na Mheshimiwa Rais Magufuli tarehe 20 Machi 2017 kuhusu mkopo wa mradi huu.
Kwa ushahidi zaidi, soma taarifa hiyo ya World Bank


DAR ES SALAAM, March 20, 2017 — Today World Bank Group President Jim Yong Kim announced that Tanzania will be able to access up to $2.4 billion in concessional financing over the next three years, an increase of half a billion dollars over previous allocations.

The additional resources will come from the World Bank Group’s International Development Association (IDA), the Bank’s fund for the poorest, which in December of last year received a record 18th replenishment of $75 billion. Approximately $45 billion of those funds will be invested in Africa over the next three years.

Because of Tanzania’s strong macroeconomic management and political stability as well as the overall growth opportunities in the country, Tanzania’s is one of the “scale-up countries,” meaning that in addition to concessional resources, they will be able to borrow additional resources on non-concessional terms that are lower than market rates.

Kim made this announcement during a ceremony in which he and Tanzanian President John Magufuli laid the foundation stone for the Ubungo Interchange in Ubungo District of Dar Es Salaam. The interchange will be financed under one of the three projects signed today, with a total value of $780 million.

The Ubungo Interchange is a critical piece of infrastrucure designed to reduce congestion at a key strategic gateway in Dar Es Salaam, and the next step in an ambitious effort to connect the Port of Dar Es Salaam to rural areas, industries, and the wider region.

Kim underscored the need to leverage private sector investment for infrastructure development as well as in job-creating industries for the estimated 800,000 young men and women entering the labor market in Tanzania each year.

“Investing in infrastructure has a significant multiplier effect, spurring growth in subsequent years,” World Bank Group President Jim Yong Kim said. “Right now there are trillions of dollars of capital in the developed world seeking higher returns. We see tremendous opportunities in developing countries for private sector investment in areas like infrastructure, which is crucial for jobs and growth. The key to unlocking this potential is through greater collaboration between the public and private sector to achieve each developing country’s highest aspirations.”

The Ubungo Interchange will be constructed under the Dar Es Salaam Urban Transport Project (DUTP) as a follow-on investment to the Second Central Transport Corridor (CTCP2) financed by the World Bank. The CTCP2 pioneered the establishment of the first phase of the Bus Rapid Transit (BRT) system in Dar es Salaam City.The DUTP will also finance Phases 3 and 4 of the BRT while supporting capacity enhancements for public transport institutions.

Dar es Salaam has a population of 4.4 million and is growing at a rate of 6.5 percent per year. It is expected to achieve megacity status before 2030. The Ubungo Interchange is expected to reduce congestion, improve travel time, and decrease costs for commuters and commercial consumers.

Kim and President Magufuli also signed the financing agreements for the $225m Second Water Sector Support Project (WSSP2), and for the $130m additional financing for the Tanzania Strategic Cities Project. The WSSP2 will support the strengthening of capacities for integrated water resources planning and management in Tanzania, as well as improve access to water supply and sanitation services in Dar es Salaam. The Tanzania Strategic Cities Project will finance an upscaling of infrastructure in eight cities across Tanzania.
Kuna mengi huyajui hiyo miradi michakato yake huanzia mbali ..hicho ulichoandika hapa ni finals
[emoji981]Flyover, ndege, SGR,, SGHEP yote ni miradi ya Serikali ambayo ipo kwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi. Mradi wa Ubungo Flyover ulisainiwa 2012 kipindi KIKWETE ni Rais mkopo toka WB [emoji1428]walipa mkopo ni watanzania mimi na wewe kwa nini sifa ziende kwa JPM? Acheni kuwa Matarumbeta! htthttps://twitter.com/LusakoWaKwanza/status/1266966087943553025
 
Kati ya vijana mamilioni wasio na ajira 449 ndio nini ?Limradi lenyewe huenda ni White elephant.Wanajua mtu na mpwaye gharama zilizotumika.Wengine kila ndugulele wamezibwa mdogo kwa pesa za matibabu walizochotewa na kuzawadiwa ubunge ikawa imetoka.
Endelea kuimba mapambio mwaka huu,mwezi trh 28 ndio mwisho wenu.
Lumumba,buku7 wahedi wee!!
 
Mradi huu ulianza kutoka JK kwa kutengeneza uchambuzi wa vipi interchange itaondo kabisa foleni eneo hili.
Kaja mzee wa masifa kajenga daraja mawili ya yanayo pishana kwa juu.
Ameuharibu mradi wote na tatizo la foleni kwa magari lipo pale pale .
Ni magari machache yanayo tumia haya madaraja mostly ni private na mwendokasi.
Ni ushamba tukuona daraja kumbe jamaa amekoroga

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ndugu yangu hii ni furaha ya watanzania kwa jinsi Mheshimiwa Rais Magufuli anavyofanya Tanzania ionekane kam Ulaya. Alisema na kweli anafanya hivyo. Ubungo flyover imegharimu zaidi ya shilingi bilioni 230. Sasa foleni ya Ubungo byebye. Tena mradi unakamilika hata kabla ya muda uliopangwa wa Desemba 2020. Chadema kipindi hiki ambacho Lissu amefungiwa mpelekeni akaone Flyover ya Ubungo na miradi mingine aondoe stress. Aone pia Kigamboni bridge, Salander Bridge, Hospitali ya Mloganzila na Machinjio mapya ya nyama Vingunguti. Aone vizuri tena terminal 3 Airport, wakati anakuja hakuiona vizuri, naambiwa alikuwa na wasiwasi wa kukamatwa. Jirani na makazi yake hapo Mabwepande aone hospitali kubwa na ya kisas iliyojengwa kwa ajili ya Wilaya ya Kinondoni. Asisahau kuona Mradi wa umeme wa Kinyerezi 2 na ujenzi wa stand mpya ya mabasi Mbezi. Akiwa hapo mpitisheni Kisarawe aone mradi mkubwa wa maji. Orodha ni ndefu. Naamini baada ya hapo ataondoa stress na kutambua kuwa Mheshimiwa Magufuli anashughulika na maendeleo ya watu. Watanzania tunampa kura za kumwaga Rais Magufuli.
Watanganyika ni washamba sijawahi kuona
 
Si kweli mkuu. Mradi huu ulijadiliwa na utawala wa Rais Magufuli na World Bank na hatimaye World Bank ilisaini makubaliano na Mheshimiwa Rais Magufuli tarehe 20 Machi 2017 kuhusu mkopo wa mradi huu.
Kwa ushahidi zaidi, soma taarifa hiyo ya World Bank


DAR ES SALAAM, March 20, 2017 — Today World Bank Group President Jim Yong Kim announced that Tanzania will be able to access up to $2.4 billion in concessional financing over the next three years, an increase of half a billion dollars over previous allocations.

The additional resources will come from the World Bank Group’s International Development Association (IDA), the Bank’s fund for the poorest, which in December of last year received a record 18th replenishment of $75 billion. Approximately $45 billion of those funds will be invested in Africa over the next three years.

Because of Tanzania’s strong macroeconomic management and political stability as well as the overall growth opportunities in the country, Tanzania’s is one of the “scale-up countries,” meaning that in addition to concessional resources, they will be able to borrow additional resources on non-concessional terms that are lower than market rates.

Kim made this announcement during a ceremony in which he and Tanzanian President John Magufuli laid the foundation stone for the Ubungo Interchange in Ubungo District of Dar Es Salaam. The interchange will be financed under one of the three projects signed today, with a total value of $780 million.

The Ubungo Interchange is a critical piece of infrastrucure designed to reduce congestion at a key strategic gateway in Dar Es Salaam, and the next step in an ambitious effort to connect the Port of Dar Es Salaam to rural areas, industries, and the wider region.

Kim underscored the need to leverage private sector investment for infrastructure development as well as in job-creating industries for the estimated 800,000 young men and women entering the labor market in Tanzania each year.

“Investing in infrastructure has a significant multiplier effect, spurring growth in subsequent years,” World Bank Group President Jim Yong Kim said. “Right now there are trillions of dollars of capital in the developed world seeking higher returns. We see tremendous opportunities in developing countries for private sector investment in areas like infrastructure, which is crucial for jobs and growth. The key to unlocking this potential is through greater collaboration between the public and private sector to achieve each developing country’s highest aspirations.”

The Ubungo Interchange will be constructed under the Dar Es Salaam Urban Transport Project (DUTP) as a follow-on investment to the Second Central Transport Corridor (CTCP2) financed by the World Bank. The CTCP2 pioneered the establishment of the first phase of the Bus Rapid Transit (BRT) system in Dar es Salaam City.The DUTP will also finance Phases 3 and 4 of the BRT while supporting capacity enhancements for public transport institutions.

Dar es Salaam has a population of 4.4 million and is growing at a rate of 6.5 percent per year. It is expected to achieve megacity status before 2030. The Ubungo Interchange is expected to reduce congestion, improve travel time, and decrease costs for commuters and commercial consumers.

Kim and President Magufuli also signed the financing agreements for the $225m Second Water Sector Support Project (WSSP2), and for the $130m additional financing for the Tanzania Strategic Cities Project. The WSSP2 will support the strengthening of capacities for integrated water resources planning and management in Tanzania, as well as improve access to water supply and sanitation services in Dar es Salaam. The Tanzania Strategic Cities Project will finance an upscaling of infrastructure in eight cities across Tanzania.
Acha kuwa tarumbeta wewe..
Huo ni mkopo wa WB na walipaji ni mimi na wewe..
Meko amekuwa akilaghai kwamba mradi umetumia fedha za ndani wakati huo ni mkopo..
Kazi ya kujenga miundombinu hufanywa na serikali yoyote ile..
Hata wakoloni walijenga miundombinu vilevile lakini tuliwatoa kama tunavyomtoa Meko tarehe 28/10.
 
Acha kuwa tarumbeta wewe..
Huo ni mkopo wa WB na walipaji ni mimi na wewe..
Meko amekuwa akilaghai kwamba mradi umetumia fedha za ndani wakati huo ni mkopo..
Kazi ya kujenga miundombinu hufanywa na serikali yoyote ile..
Hata wakoloni walijenga miundombinu vilevile lakini tuliwatoa kama tunavyomtoa Meko tarehe 28/10.

Ndugu yangu fahamu tu kwamba fedha yoyote ukiisha ikopa bank ni fedha yako. Hauiite tena fedha ya Bank ya CRDB au NMB, ni fedha yako na unawajibu wa kuirudisha. Ndiyo tulikopa fedha WB, lakini baada ya kuikopa ni fedha yetu. Pia elewa kuwa Tanzania imekuwepo kwa takriban miaka 60 na hatukuwa na flyover hata moja. Si kazi rahisi, mfano mwingine ni CHADEMA imekuwepo kwa zaidi ya miaka 30 lakini imeshindwa kujenga hata nyumba ya vyumba 3 kwa ajili ya ofisi yake makao makuu. Usione vyaelea ndugu yangu. Rais Magufuli Oyeeee. Kura zote watanzania tunampa
 
Kuna mengi huyajui hiyo miradi michakato yake huanzia mbali ..hicho ulichoandika hapa ni finals
[emoji981]Flyover, ndege, SGR,, SGHEP yote ni miradi ya Serikali ambayo ipo kwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi. Mradi wa Ubungo Flyover ulisainiwa 2012 kipindi KIKWETE ni Rais mkopo toka WB [emoji1428]walipa mkopo ni watanzania mimi na wewe kwa nini sifa ziende kwa JPM? Acheni kuwa Matarumbeta! htthttps://twitter.com/LusakoWaKwanza/status/1266966087943553025

Hawa UVCCM wana maudhi mpaka wanapitiliza. Hela zinatokana na kodi na mikopo ambayo tutalipa kama Taifa hata kwa miaka 50 ijayo, lakini pongezi na utukufu anapewa Magufuli ambaye hata kodi kwenye mshahara wake tu nasikia hakatwi!
 
World bank tena sio fedha zetu za ndani?

Unakataa kuwa hii sio mipango ya serekali ya JK ila ni initiative ya JPM kama Rais, unakumbuka JPM akiwa waziri wa ujenzi alitaka kuvunja jengo la Tanesco ubungo JK na Pinda wakamzuia, unawaza alitaka kuvunja ili iweje? Jengo ambalo maskini alikuja kulivunja huku anajisifu kuwa sasa hakuna wa kumzuia maana yeye ndo Rais wakati huo mradi umepita maili mia mbali

Sent from my Redmi Note 6 Pro using JamiiForums mobile app
 
Kuna mengi huyajui hiyo miradi michakato yake huanzia mbali ..hicho ulichoandika hapa ni finals
[emoji981]Flyover, ndege, SGR,, SGHEP yote ni miradi ya Serikali ambayo ipo kwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi. Mradi wa Ubungo Flyover ulisainiwa 2012 kipindi KIKWETE ni Rais mkopo toka WB [emoji1428]walipa mkopo ni watanzania mimi na wewe kwa nini sifa ziende kwa JPM? Acheni kuwa Matarumbeta! htthttps://twitter.com/LusakoWaKwanza/status/1266966087943553025
Sifa lazima apate magufuli sababu ndio ametoa go ahead ya huo ujenzi
 
Back
Top Bottom