Foby na ibrahnation ni dhahabu zilizotupwa mchangani...

Hao majamaa wanajya sana nahisi hawana menejimenti very powerful,zenye hela na ushawishi pia JAMAA wamepoa sana hawana makeke ila muziki tu wanaujua
Mziki kwa sasa unahitaji uwekezaji mkubwa ndo mana hata wasanii wakubwa nao wanakwama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…