Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Jamani kuna folder yangu moja ina docs nyeti na muhimu naona imenakiliwa au kuporwa.. aliyeiona anirudishie... au aniambie ilipo nitaifuata mwenyewe. Ina picha, nyaraka, discs za video na audio
Aliyeiona anaweza kuniandikia mimi; kimsini naona ni nyaraka ambazo hutakiwi kuwa nazo ni za mtu mwingine na baadhi yaweza kuwa ni zangu..so ukiona nyaraka zina mhuri wa "MM".. nitonye.. important tuzirudishe.