Jaman wadau mnaoishi kimara hii folen ya Leo kuna nin huko maana toka y
Ubungo Maji folen imekamata mpka hapa mataa ya bucha kwa mlio huko mbele mtujuze nin shida
Mkuu kwani wewe ni mara yako ya kwanza kupita njia hiyo? We ni dereva wa lori? Km si wa lori mwendokasi zilisha anza mkuu km unakomaa na gari yako komaa tu mkuu maana haina namna
Mkuu kwani wewe ni mara yako ya kwanza kupita njia hiyo? We ni dereva wa lori? Km si wa lori mwendokasi zilisha anza mkuu km unakomaa na gari yako komaa tu mkuu maana haina namna