Foleni ya kufa mtu Lugalo: TANROADS acheni hizo

Foleni ya kufa mtu Lugalo: TANROADS acheni hizo

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Barabara ya Mwenge-Lugalo-Mbezi Beach leo jioni ilikuwa balaa.

Kuna mkandarasi anafanya kazi mchana hadi jioni NA KUZIBA lane moja.

Hapo ndio naona hii ni kichaa kabisa, watafanyaje kazi wakati wa maximum traffic?

Matokeo yake ni magari kuxiba njia zote kabisa.

TANROADS tumieni akili ya kuzaliwa, this should NOT happen.
 
Ukweli inakera sana! si wajenge usiku wa manane? Taa zipo wamulike wajenge usiku. Inakera sana
Makandarasi WOTE wanaofanya kazi barabara hii hufanya hivyo usiki, sijui hawa wamepewaje kibali KUFUNGA barabara mchana!
 
MFUGALE TOWERS, MFUGALE FLYOVER,
Legacy.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Hiyo bara bara wanarekebisha nini sasa? Inatatizo gani?
: NB: nina mwaka mmoja sijapika hiyo njia
Hapo ndipo huwa nawaleza vijana wa JF kuwa mna matatizo. Baadala ya kuuliza unajadili wakati hujui hali halisi ya hiyo barabara na wala siyo mtaalam wa barabara. Shame on you
 
Tunakumbuka kampuni ya Estim chini ya Konoike ndiyo ilifanya hiyo kazi magumashi!
... nadhani hawa jamaa ni shida! Barabara zao nyingi baada ya muda mfupi "zinaumuka". Kuna ile ya Mbezi - Kinyerezi na Mbezi - Goba - Masana ni hawa hawa jamaa! Kila mahali zimekuwa "manundu" ya hatari! I think ndio hawa hawa wanajenga ile iliyosifiwa sana; njia 8 Kimara - Kibaha! Let's wait and see!
 
Hapo ndipo huwa nawaleza vijana wa JF kuwa mna matatizo. Baadala ya kuuliza unajadili wakati hujui hali halisi ya hiyo barabara na wala siyo mtaalam wa barabara. Shame on you
Kwani hujaona alama ya kiulizo? Au leo usisahau kuvaa miwani yako?
 
... nadhani hawa jamaa ni shida! Barabara zao nyingi baada ya muda mfupi "zinaumuka". Kuna ile ya Mbezi - Kinyerezi na Mbezi - Goba - Masana ni hawa hawa jamaa! Kila mahali zimekuwa "manundu" ya hatari! I think ndio hawa hawa wanajenga ile iliyosifiwa sana; njia 8 Kimara - Kibaha! Let's wait and see!
Barabara zao ziitwe Estim Manundu Roads.
 
Back
Top Bottom