BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 525
- 1,257
Hicho ni kikwazo kikubwa pia kwa madereva hasa wale ndugu zangu wa Taksi Mtandao kwa kuwa wanatumia muda mwingi kwenye foleni ya gesi kiasi kwamba inakuwa kama mateso na sio furaha kwao, wanapoteza wateja wakisubiri gesi.
Najua siku zinavyozidi kwenda foleni itakuwa kubwa mara tano ya ilivyo sasa kwa kuwa nishati ya mafuta mambo yanazidi kuwa magumu kutokana na bei kupanda kila kukicha.
Pia, soma;
Serikali yasema inajenga vituo vingine vitatu vya Nishati ya gesi ya magari