Foleni ya leo barabara ya Mandela sio poa

Foleni ya leo barabara ya Mandela sio poa

Juzi ndo nimeamini foleni inakula mafutaaa 😀 😀 😀 unakaa foleni mpaka unakuwa unazima gari maana ni kama gari inatembea gauge inashuka tu
😃😃😃 ubaya na foleni nayo haitembeii
 
Si lazima majumba sita unaweza kuingilia hata vingunguti ukaenda kutokea baracuda tena hiyo ndio itakuwa rahisi zaidi kwako, kwa kiasi kikubwa utakuwa umekwepa foleni ya kuanzia tazara mpaka tabata relini, nyerere road naonaga haina usumbufu mkubwa kama mandela road
Ile njia ya vingunguti yenyew kumbe ina uafadhali bora niwe napitia hio
 
Mzee, kwani Hilo gari kila muda una Beba familia ?

Unakuwa na gar pia piki piki... Unatumia chombo X kutegemea na mazingira ya barabara ya hiyo cku
kiukweli ushauri nimeuchukua,pikipiki itanisaidia kupunguza budget ya ngwese na muda pia.
 
*****[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole sana mzee. Naelewa hiyo kitu mzee. Unakaa barabarani hadi unahisi umetekwa au dunia imesimama huko nje.
 
Barabara ya mandela road ilikuwa haifai leo ,foleni Nimeikuta imeanzia uhasibu chuo cha TIA mpk nimekuj kuchepuk njia ya kuingia Tabata,kwa wale tuliopita hii njia nahisi mmekutana nacho, nimejaribu kuchepukia njia ya mchicha ili niingilie njia ya uhuru wapi, kwenyewe ndo kabisa gari zilikuwa hazitembei Ikanibidi nirud teena niitafute sokota ili niingie service road, mpaka natoboa Tazara nimekaa kile kipande Si chini ya lisaa na nusu.

Vivyo hivo kweny kipande cha kutafuta mataa ya Tabata Si chini ya dkk 45.Nimetoka pale nikaend kupamban na foleni ya kuitafuta segerea mwisho unachipua mkono wa kushoto pale mataa ya Tabata na kwenyewe nimekaa sii chini ya dkk 40.

Mpk nafika home ni huruma imenibidi nilale kweny gari kabla ya kushuka mwili wote ganzi.

Kinachochosha zaidi safari ya nusu Saa nimetumia masaa matatu, naukisema utumie usafiri wa umma jiandae kuwa jack chain lasivyo uwe na hela ya kupanda boda boda kila siku, ukiwa mzembe ni kufik home midnight kila siku.
Barabara yenye foleni kubwa toka nije Dar hii Mandela Road ni kiboko hii ndio inapaswa kua njia nane hata ile flyover ya pale Tazara haisaidii chochote.
 
Vingunguti Bado magari hayawezi kukatiza Kuna ujenzi unaendelea wa daraja. Labda aambae na hiyo rough road aende nayo Hadi majumba sita...akaitafute njia ya segerea Kwa huko.

Ikiisha hii njia ya vingunguti itakua msaada mkubwa sana.

Ikiisha na ya majumba sita itakuwa poua Zaidi. Na hapo majumba sita Kuna ujenzi pia unaendelea huwezi kuingilia kupitia barabara ya gongo la mboto.

Ni lazima uingilie vingunguti Kwa wenye magari wanapita rough road. Kuanzia vingunguti
Hapa ni ujenzi ukamilike foleni itapungua Saaan,wenye private car wanaotokea maeneo ya buza,mbagala au bandarini kama wanaelekea tabata hii njia ya vingunguti ikiisha itapunguz wingi watu kupotez muda kweny folen ya tabata.
 
*****[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole sana mzee. Naelewa hiyo kitu mzee. Unakaa barabarani hadi unahisi umetekwa au dunia imesimama huko nje.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu ulikaa muda gani ww
 
Sikuwahi kupata shida nikiwa hapo kwa chalamila .

Nikifika ni mwendo wa kumpanga mwanangu wa ambulace la hospitali fulani la serikali sisi ni mwendo wa ving'ora tu popote nafika kwa muda nitakao .

Nb :Tafuteni connection na madereva wa ambulace hamtakuja kujutia
 
Sikuwahi kupata shida nikiwa hapo kwa chalamila .

Nikifika ni mwendo wa kumpanga mwanangu wa ambulace la hospitali fulani la serikali sisi ni mwendo wa ving'ora tu popote nafika kwa muda nitakao .

Nb :Tafuteni connection na madereva wa ambulace hamtakuja kujutia
Mkuu hii barabara haina ujanja,labda mungie opposite roaf
 
Back
Top Bottom