Fomu kwa wale wambao wanataka ukarani kwenye sensa ikiwemo waliomaliza chuo lakini hawana ajira

Fomu kwa wale wambao wanataka ukarani kwenye sensa ikiwemo waliomaliza chuo lakini hawana ajira

Eti mie afisa mtendaji kata kakataa fomu anasema wao wameambiwa wapokee barua za maombi na sio fomu..
Halafu kaing‘ang‘ania barua yenyewe anasema wao pale kata ndio wanzichukua kisha wanazipeleka!!! Nimechukia kama nini!!
 
Eti mie afisa mtendaji kata kakataa fomu anasema wao wameambiwa wapokee barua za maombi na sio fomu..
Halafu kaing‘ang‘ania barua yenyewe anasema wao pale kata ndio wanzichukua kisha wanazipeleka!!! Nimechukia kama nini!!

hata liafisa la kwe2 limegoma.
 
Eti mie afisa mtendaji kata kakataa fomu anasema wao wameambiwa wapokee barua za maombi na sio fomu..
Halafu kaing‘ang‘ania barua yenyewe anasema wao pale kata ndio wanzichukua kisha wanazipeleka!!! Nimechukia kama nini!!

we unatakiwa kupeleka kwa afisa mtendaji wa mtaa halafu kwa afisa mtendaji wa kata ndyo zinapokusanywa.
 
we unatakiwa kupeleka kwa afisa mtendaji wa mtaa halafu kwa afisa mtendaji wa kata ndyo zinapokusanywa.

Nimefanya hivo.Sema kakataa kupokea fomu kasema tuandike barua za maombi. Ikabidi tuandike.Halafu kasema tuattach na vyeti vyetu tukafanya hivo. Kisha akasema eti wao kata ndio watafanya mchujo zinazofaa watazipeleka wilayani kwa hiyo sio zote zitaenda. Na amesema turudi baada ya wiki moja kuangalia majibu.
 
Duh, poleni hapo naona uchakuzi, kwa kwa wao ndyo wenyekiti kamati ya sensa?
Nimefanya hivo.Sema kakataa kupokea fomu kasema tuandike barua za maombi. Ikabidi tuandike.Halafu kasema tuattach na vyeti vyetu tukafanya hivo. Kisha akasema eti wao kata ndio watafanya mchujo zinazofaa watazipeleka wilayani kwa hiyo sio zote zitaenda. Na amesema turudi baada ya wiki moja kuangalia majibu.
 
Hizi ajira mboona tutapigana vikumbo? walimu walivyowengi mpaka waishe ndo tuje tufikiriwe na form six leavers. Au kila mtu atakuwa anamhesabu mwenziye!

kiongozi umetisha daaah we kweli ni critical thinker
 
Ila kweli wadau kama unauwezo wa kuwa katika ile top rank za mpango mzima wa sensa then you might get(sio kama utapata) otherwise huwezi pata kipato kikubwa hivyo.Mwanzo priorities walikuwa walimu,utandawazi huu walimu wamewekwa pembeni,poleni mungu ataonyesha njia lakin
.
 
Mkuu kwani ww mwalimu?
Ila kweli wadau kama unauwezo wa kuwa katika ile top rank za mpango mzima wa sensa then you might get(sio kama utapata) otherwise huwezi pata kipato kikubwa hivyo.Mwanzo priorities walikuwa walimu,utandawazi huu walimu wamewekwa pembeni,poleni mungu ataonyesha njia lakin
.
 
Walimu ndiyo ambao form zao zimejuwa nyingi kwa Watu walioajiriwa
vyovyote itakavyo kuwa,ila wenye ajira ingekuwa ungwana kama kwa hili mungetuachia vijana ambao hatuna ajira,najua munapata ujumbe huu (walimu ,askari na wengineo)
 
Malipo yazingatie population density ya mahali,huwezi mlipa anayehesabu watu manzese na huko tukuyu vijijini malipo sawa...interview na raia wa dsm ni zaid ya ugumvi.
 
Hii nchi inanipa raha sana!
Kwa wale tulioko Kilimanjaro imekula kwetu kwani ma-DED wa huku washakamilisha mchakato wa kupata watu!
Walishatanga tokea mwezi wa 5, Kinachofanyika ni formality utatuma ila hutopata mkuu!
Uongozi DHAIFU
serikali DHAIFU
 
Back
Top Bottom