Fomu ya AS Vita Club akiwa uwanja wa nyumbani

Fomu ya AS Vita Club akiwa uwanja wa nyumbani

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Katika mechi mbili za mwisho za ligi ya mabingwa afrika, As Vita ameibuka na ushindi wa goli 4-1. Hii inaashiria jamaa wakiwa uwanja wa nyumbani ni wakali sana, hivyo Simba leo wanatakiwa waingie na tahadhari kubwa sana, vinginevyo hali itakuwa mbaya.

Adjustments.jpg



Hata katika makampuni ya kamari, As Vita kapewa odds chache kulinganisha na Simba aliyepewa odds nyingi.
Adjustments.jpg



Naona kabisa leo kuna timu inaenda kubugia idadi kubwa ya magoli[emoji23]
 
Katika mechi mbili za mwisho za ligi ya mabingwa afrika, As Vita ameibuka na ushindi wa goli 4-1. Hii inaashiria jamaa wakiwa uwanja wa nyumbani ni wakali sana, hivyo Simba leo wanatakiwa waingie na tahadhari kubwa sana, vinginevyo hali itakuwa mbaya.

View attachment 1700484


Hata katika makampuni ya kamari, As Vita kapewa odds chache kulinganisha na Simba aliyepewa odds nyingi.
View attachment 1700486


Naona kabisa leo kuna timu inaenda kubugia idadi kubwa ya magoli[emoji23]
"Kubugia idadi kubwa ya magoli"........uto kama uto, vyura kama vyura
 
Katika mechi mbili za mwisho za ligi ya mabingwa afrika, As Vita ameibuka na ushindi wa goli 4-1. Hii inaashiria jamaa wakiwa uwanja wa nyumbani ni wakali sana, hivyo Simba leo wanatakiwa waingie na tahadhari kubwa sana, vinginevyo hali itakuwa mbaya.

View attachment 1700484


Hata katika makampuni ya kamari, As Vita kapewa odds chache kulinganisha na Simba aliyepewa odds nyingi.
View attachment 1700486


Naona kabisa leo kuna timu inaenda kubugia idadi kubwa ya magoli[emoji23]
Unalo lingine la kuongeza?
 
Back
Top Bottom