Fomu ya AS Vita Club akiwa uwanja wa nyumbani

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Katika mechi mbili za mwisho za ligi ya mabingwa afrika, As Vita ameibuka na ushindi wa goli 4-1. Hii inaashiria jamaa wakiwa uwanja wa nyumbani ni wakali sana, hivyo Simba leo wanatakiwa waingie na tahadhari kubwa sana, vinginevyo hali itakuwa mbaya.




Hata katika makampuni ya kamari, As Vita kapewa odds chache kulinganisha na Simba aliyepewa odds nyingi.



Naona kabisa leo kuna timu inaenda kubugia idadi kubwa ya magoli[emoji23]
 
"Kubugia idadi kubwa ya magoli"........uto kama uto, vyura kama vyura
 
Unalo lingine la kuongeza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…