Sisi tumeshavuna point zetu 3, hatujaangalia kama alivuna 4-1 akiwa kwao, tumempiga hapo hapo kwao.Katika mechi mbili za mwisho za ligi ya mabingwa afrika, As Vita ameibuka na ushindi wa goli 4-1. Hii inaashiria jamaa wakiwa uwanja wa nyumbani ni wakali sana, hivyo Simba leo wanatakiwa waingie na tahadhari kubwa sana, vinginevyo hali itakuwa mbaya.
View attachment 1700484
Hata katika makampuni ya kamari, As Vita kapewa odds chache kulinganisha na Simba aliyepewa odds nyingi.
View attachment 1700486
Naona kabisa leo kuna timu inaenda kubugia idadi kubwa ya magoli[emoji23]
Je zimesaidia kitu huo upuuzi wa odd? Sisi tumevuna point 3, wewe baki na odd zako.Hii ni aibu 5imba kapewa odds 7
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] tena bila ganzi.Na Kesho wanakeketwa huko Mbeya.
Huyu jamaa ni fala Mkubwa sana. Haachi kuandika mabaya juu ya Simba lakini kila siku anaaibika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utopolo katika ubora wakoKatika mechi mbili za mwisho za ligi ya mabingwa afrika, As Vita ameibuka na ushindi wa goli 4-1. Hii inaashiria jamaa wakiwa uwanja wa nyumbani ni wakali sana, hivyo Simba leo wanatakiwa waingie na tahadhari kubwa sana, vinginevyo hali itakuwa mbaya.
View attachment 1700484
Hata katika makampuni ya kamari, As Vita kapewa odds chache kulinganisha na Simba aliyepewa odds nyingi.
View attachment 1700486
Naona kabisa leo kuna timu inaenda kubugia idadi kubwa ya magoli[emoji23]
Hii ni aibu 5imba kapewa odds 7
Katika mechi mbili za mwisho za ligi ya mabingwa afrika, As Vita ameibuka na ushindi wa goli 4-1. Hii inaashiria jamaa wakiwa uwanja wa nyumbani ni wakali sana, hivyo Simba leo wanatakiwa waingie na tahadhari kubwa sana, vinginevyo hali itakuwa mbaya.
View attachment 1700484
Hata katika makampuni ya kamari, As Vita kapewa odds chache kulinganisha na Simba aliyepewa odds nyingi.
View attachment 1700486
Naona kabisa leo kuna timu inaenda kubugia idadi kubwa ya magoli[emoji23]
Renzo una bahari mbaya!! Utakimbia nyuzi zako mwenyewe zote!! Mwisho wa siku utakimbia jamii forum jumla!!Katika mechi mbili za mwisho za ligi ya mabingwa afrika, As Vita ameibuka na ushindi wa goli 4-1. Hii inaashiria jamaa wakiwa uwanja wa nyumbani ni wakali sana, hivyo Simba leo wanatakiwa waingie na tahadhari kubwa sana, vinginevyo hali itakuwa mbaya.
View attachment 1700484
Hata katika makampuni ya kamari, As Vita kapewa odds chache kulinganisha na Simba aliyepewa odds nyingi.
View attachment 1700486
Naona kabisa leo kuna timu inaenda kubugia idadi kubwa ya magoli[emoji23]
Wala hajifunzi!!Huyu jamaa ni fala Mkubwa sana. Haachi kuandika mabaya juu ya Simba lakini kila siku anaaibika ππππππ
Una shakhaKatika mechi mbili za mwisho za ligi ya mabingwa afrika, As Vita ameibuka na ushindi wa goli 4-1. Hii inaashiria jamaa wakiwa uwanja wa nyumbani ni wakali sana, hivyo Simba leo wanatakiwa waingie na tahadhari kubwa sana, vinginevyo hali itakuwa mbaya.
View attachment 1700484
Hata katika makampuni ya kamari, As Vita kapewa odds chache kulinganisha na Simba aliyepewa odds nyingi.
View attachment 1700486
Naona kabisa leo kuna timu inaenda kubugia idadi kubwa ya magoli[emoji23]
Ana andraaaaa record za Al AhlyMleta uzi hawezi kurudi hapaππ