Sisi tumeshavuna point zetu 3, hatujaangalia kama alivuna 4-1 akiwa kwao, tumempiga hapo hapo kwao.Katika mechi mbili za mwisho za ligi ya mabingwa afrika, As Vita ameibuka na ushindi wa goli 4-1. Hii inaashiria jamaa wakiwa uwanja wa nyumbani ni wakali sana, hivyo Simba leo wanatakiwa waingie na tahadhari kubwa sana, vinginevyo hali itakuwa mbaya.
View attachment 1700484
Hata katika makampuni ya kamari, As Vita kapewa odds chache kulinganisha na Simba aliyepewa odds nyingi.
View attachment 1700486
Naona kabisa leo kuna timu inaenda kubugia idadi kubwa ya magoli[emoji23]