hivyo ni kuomba vyombo vya sheria vijaribu ku ammend police rules zinazotoa ulazima wa izo form (pf3) kuwa ziwe zinapatikana katika mahospitali.. ili kurahisisha mambo. na kuwa na afisa wa polisi katika kila hospital ili kutekeleza ilo swala.
asanteni.
Upo sawa kabisa.. Japo swala la simu lilishashindikana. kikubwa ni kuzifanya izo form ziwe zinapatikana mahospitalini.. waweke kitengo kidogo cha afisa polisi wa kuzisimamia ili kupunguza adha ya kwenda kituo cha polisi.Nadhani ingesaidia sana kuaoka roho za majeruhi wengi wanaoachwa bila huduma ya kwanza na kufariki kabla ya matibabu .
Kama lengo ni uchunguzi na uhakiki wa kutendeka kwa jinai-Dr anayempokea na kumhudumia majeruhi sheria imtambue kuwa anamamlaka ya kujaza hiyo PF3 na sharti aiarifu Kituo cha Polisi kwa simu au Kitungo cha dharura cha Polisi kwa simu kuwa amepokea Majeruhi na ametoa huduma ya kwanza/matibabu ili polisi wachukua hatua stahiki kuanzia hapo.
Siku hizi mawasiliano siyo shida hata kidogo !
You hit the nail on the head! Indeed the intention of instituting the PF3 form might have been very good in the sense that it forms the basis of following-up a crime. However, in the long-run the means is being misused. The forms should be made available at the hospitals so that priority goes to attending to the patient; and afterwards the doctor completes the form; and later on the police do their duty. the sequence should be in that order.hivyo ni kuomba vyombo vya sheria vijaribu ku ammend police rules zinazotoa ulazima wa izo form (pf3) kuwa ziwe zinapatikana katika mahospitali.. ili kurahisisha mambo. na kuwa na afisa wa polisi katika kila hospital ili kutekeleza ilo swala.