MZIMU
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 4,058
- 1,373
Mtu anagongwa na Gari, anawahishwa Hospital, Madaktari wana kataa kumpokea mpaka apewe form ya Pf3 kutoka police. Mgonjwa anarudishwa Police kupewa form ya PF3. Baada ya kupata form ya PF3, anarudishwa Hospital. Mgonjwa anapofika hospitali kwa Mara ya Pili, amekata roho.
Je hii form inafaida kwa mgonjwa??
Je hii form inafaida kwa mgonjwa??