Wakuu habari zenu.
Samahani naomba kufahamishwa utaratibu wa kuchukua form ya kugombea nafasi ya Spika iliyoachwa wazi na Job ndugai kupitia chama cha Mapinduzi - CCM upoje?
Form zinaanza kutolewa lini , na je mtu yeyote anayejiona ana sifa na ni mwanachama wa CCM anaweza kugombea ?
Natanguliza shukrani za dhati nikiamini kuwa JF kuna wajuzi na mtanisaidia kunipa mwelekeo wa maswali yangu .
ASANTENI SANA👏🏼
Samahani naomba kufahamishwa utaratibu wa kuchukua form ya kugombea nafasi ya Spika iliyoachwa wazi na Job ndugai kupitia chama cha Mapinduzi - CCM upoje?
Form zinaanza kutolewa lini , na je mtu yeyote anayejiona ana sifa na ni mwanachama wa CCM anaweza kugombea ?
Natanguliza shukrani za dhati nikiamini kuwa JF kuna wajuzi na mtanisaidia kunipa mwelekeo wa maswali yangu .
ASANTENI SANA👏🏼