Fomu za Kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la JMT

Fomu za Kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la JMT

Rolf

Member
Joined
Jul 4, 2021
Posts
16
Reaction score
32
Wakuu habari zenu.

Samahani naomba kufahamishwa utaratibu wa kuchukua form ya kugombea nafasi ya Spika iliyoachwa wazi na Job ndugai kupitia chama cha Mapinduzi - CCM upoje?

Form zinaanza kutolewa lini , na je mtu yeyote anayejiona ana sifa na ni mwanachama wa CCM anaweza kugombea ?

Natanguliza shukrani za dhati nikiamini kuwa JF kuna wajuzi na mtanisaidia kunipa mwelekeo wa maswali yangu .

ASANTENI SANA👏🏼
 
Nipigie nikuelekeze stationary zinakopatikana form
it is Stationery and not stationary,when speaking of stationary the reference is made to something immovable,the word originates from the word station.

Also some people are confused of the word saloon / salon ,where by the word saloon means a certain type of a car,while the word salon is a place where people do go fo shaving or dressing hair.

Watch out!!
 
Kwa wale wasio na vyama na wanataka kugombea utaratibu ukoje? Fomu zinapatikana wapi?
 
Wakuu habari zenu.

Samahani naomba kufahamishwa utaratibu wa kuchukua form ya kugombea nafasi ya Spika iliyoachwa wazi na Job ndugai kupitia chama cha Mapinduzi - CCM upoje?

Form zinaanza kutolewa lini , na je mtu yeyote anayejiona ana sifa na ni mwanachama wa CCM anaweza kugombea ?

Natanguliza shukrani za dhati nikiamini kuwa JF kuna wajuzi na mtanisaidia kunipa mwelekeo wa maswali yangu .

ASANTENI SANA👏🏼
Je hiyo haki ya kugombea ikoje? Vigezo na masharti yake yakoje?
 
Back
Top Bottom