Swali zuri sana: Kwa nini watu wana opt kwenye food supplements za GNLD. Jibu halisi la swali lako linapatikana katika swali kwa nini tunakula chakula?
Tunakula ili miili yetu iweze kupata virutubisho, miili ivitumie hivyo virutubisho kuupa mwili nguvu uweze kufanya kazi yake vizuri. According to World Health Organization (WHO) Tunapaswa kula kama ifuatavyo:
1. nafaka ambazo hazijakobolewa (lipids and sterols)
2. mboga na matunda (fruits and vegetables) 5 to 9 types a day
3. protein
4. mafuta yasiyoganda kwa urahisi (unsaturated fats)
5. carbohydrates (sukari)
Mpangilio huo hapo juu unaashiria umuhimu wa chakula, yaani sehemu kubwa ya chakula chetu inapaswa kuwa lipids, ikifuatiwa na fruits and veg, protein, unsaturated fats na sukari.
Lakini asilimia 99 ya watu hula kinyume: sehemu kubwa tunakula sukari na mafuta yanayoganda, protein, matunda na mboga kidogo sana, nafaka zisizokobolewa ndio hatuli kabisa.
Nini matokeo ya kula kinyume na maagizo ya WHO? MAGONJWA:
1.Uchovu
2.Kisukari
3.Blood pressure
4.Cancer
5.Impotency
6.Heart attack
7.Stroke etc.
Magonjwa haya yote hayatibiki hospitali.
Kwa nini watu wasile fresh food? Ukweli ni kwamba ni vigumu mno kupata virutubisho vyote vinavyotakiwa mwilini kwenye vyakula vya siku hizi. Kwa nini? Sababu ni nyingi sana mfano uharibifu wa mazingira umechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza uwezo wa ardhi. Pili muda wa kuvuna vyakula shambani mpaka kumfikia mlaji unachangia kwa kiasi kikubwa sana upotevu wa virutubisho. Chukulia chungwa ambalo lina vitamin c nyingi sana, dakika 15 tu baada ya kuchumwa vitamini c yote inakuwa imeondoka na kubaki fructose tu! Sasa piga hesabu wewe mwenyewe uone chungwa linalotoka Tanga kuja Dar es Salaam litakuwa katika hali gani? Na hii ni hivyo hivyo katika vyakula vyote.
Suluhisho ninini?
Solution ni kupata vyakula mbadala (food supplements za GNLD)! Kwa nini? Kwa sababu ni vyakula halisi vimetengenezwa kwa technologia ya hali ya juu kuhakikisha mwili unapata exactly unachotakiwa kupata (natural, hakuna chemical hata moja). Kinachotenganisha GNLD na wengine ni Scientific Advisory Board (SAB) ambayo husimamia utengenezwaji wa supplements hizi. Ubora wa SAB, umepelekea serikali ya marekani kuwapa kazi ya ushauri kuhusu mambo yote ya kilimo na chakula.
Kuna mis conception kuwa supplements ni dawa, sio dawa! Bali watu wanapoumwa wakizitumia wakapona wanaamini wamekula dawa, ukweli ni kwamba mwili unapopata unachohitaji sio rahisi kuumwa.
Pia watu ufikri kuna chemicals, katika GNLD products hakuna chemikali hata chembe moja, kwa sababu supplements hizo hutengenezwa kwa mimea halisi.
Kama unataka maelezo zaidi juu ya Bidhaa za GNLD wasiliana nami kwa kupitia email hii
professionaleagle@gmail.com
Knowledge is not power rather the use of knowledge is POWER