hivi jamaani nisaidieni, unapotest hizo sukari kipi inashauriwa uanze? au ni vyovyote tu upendavyo.
pia ukitest reducing sugar (glucose) ukaiona na umepewa reagents za kutest pia non reducing sugar.
je, kwenye observation na inference utaandikaje kwenye hiyo non reducing sugar? kwasababu glucose sio non reducing sugar.
pia ukitest reducing sugar (glucose) ukaiona na umepewa reagents za kutest pia non reducing sugar.
je, kwenye observation na inference utaandikaje kwenye hiyo non reducing sugar? kwasababu glucose sio non reducing sugar.