Football Club Investments ni sehemu sahihi ya uwekezaji?

Football Club Investments ni sehemu sahihi ya uwekezaji?

Mada zinazo eleza ukweli,ufumbuzi wachangiaji uzipita.
Sasa vilio na majonzi vitachangia kwa wingi mada yako.
Moderator embu kwenye Maswala ya Dj za uzi weka hii iwe trend maana tokea mwaka jana watu waliipita

IMG_0819.jpeg
 
Server imecollapse
Hakuna kitu kizuri kama kuwa tapeli ukiwa na mtaji.

Kulitokea tapeli mmoja alifika kwenye kijiji akinunua paka kwa bei ya elfu hamsini.

Mara ya kwanza wale wa kwanza walinufaika sana kwa kumuuzia paka na habari zika sambaa kijiji kizima kuwa paka sasa ni dili.Mwisho wa siku paka wote wakaisha kijijini.

Yule tapeli akapandisha dau ya paka kufikia paka mmoja ni laki mbili ila kijiji kilikosa.

Siku moja walisikia kijiji fulani kuna mtu anapaka anauza laki moja na nusu.

Kijiji kile kikaona huu ndio mchongo bwana tutampandishia bei sababu anawataka.

Wakanunua paka wote kijiji chengine kuja kurudi tapeli hayupo(server corrupt).

Ina maana wamejinunulia paka wao na kujiuzia paka wao
 
Kuwekeza kwenye football ni sawa na kuwanunulia watu bia ili wafurahi
 
Ndiyo tunapaswa kuelimisha jamii hasa kwa mambo yafuatayo

1. Je unawezaje kujua hii ni kampuni salama ya uwekezaji??

2. Inakuwawaje kampuni inasajiliwa na Inafanya kazi kwa kulipa Kodi kwa maana ya kutambulika na TRA na pia imesajiliwa na BRELA,

Wao hutumia kigezo Gani ili kusajili haya makumpuni na kutoa leseni.?

3. Je mamlaka husika zilizotoa kibali kwa kampuni kuendesha shughuli zake Huwa zinachukua hatua Gani kampuni yeyote Ile ya uwekezaji ikiondoka na Pesa za watanzania.?
Angalia leseni yao. Leseni huandikwa imetolewa kwa biashara fulani hivyo ukiona kinachofanywa ni tofauti jua hapo majanga. Hata hivyo pesa ilivyo ngumu kuipata unaamini vipi kuna mtu anazo za kugawa tu? Hata Elon Musk hana za kugawa.
 
Bado vilio vipo chini chini,so Gvt ikifatilia wahanga watajitokeza,then Amount ambazo wamepinga zitajulikana kwa uwazi.Hii utakuwa Moja ya Ponzi ambayo itakuwa imevunja rekodi kwa kutapeli hapa Tanzania.
 
Bado vilio vipo chini chini,so Gvt ikifatilia wahanga watajitokeza,then Amount ambazo wamepinga zitajulikana kwa uwazi.Hii utakuwa Moja ya Ponzi ambayo itakuwa imevunja rekodi kwa kutapeli hapa Tanzania.
Waathiriwa watakuwa ni wale waliopigwa kwenye, DECI, Kalynda, sunranch, MTFE, etc. Waitwe wawekwe sehemu moja wapewe semina ili Ponzi nyingine isipite nao
 
Back
Top Bottom