Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
FACT 😀😀
Je, wajua beki wa Yanga SC. Lamine Moro ana magoli mengi (3) kuzidi jumla ya magoli ya Bwalya, Mkude, Ajibu, Morrison, Kahata, Ilanfya?
FACT 😀😀
Je, wajua Bernard Morrison tangu ajiunge na simba hajawahi maliza dakika tisini VPL?
FACT 😀😀
Je, wajua bei ya jezi moja ya Yanga sh. 45000 hiyo hela unaweza kununulia jezi 9 za simba kwa bei ya jumla ya sh.5000?
Tupia yako.
Je, wajua beki wa Yanga SC. Lamine Moro ana magoli mengi (3) kuzidi jumla ya magoli ya Bwalya, Mkude, Ajibu, Morrison, Kahata, Ilanfya?
FACT 😀😀
Je, wajua Bernard Morrison tangu ajiunge na simba hajawahi maliza dakika tisini VPL?
FACT 😀😀
Je, wajua bei ya jezi moja ya Yanga sh. 45000 hiyo hela unaweza kununulia jezi 9 za simba kwa bei ya jumla ya sh.5000?
Tupia yako.