Sammuel999
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,481
- 2,347
Sawa,but Uhuru is the winner!
Washa reporti but IEBC national tallying centre bado haija zi present ziko still kwa county tallying centreIts tough. Kisumu na Homabay washaareporti kadhaa. Bungoma Uhuru is doing well
Lini kwani amekuwa rafiki wa dikteta?..nilikuwa nampenda Raila kabla hajawa rafiki wa Dikteta Uchwara. sasa hivi natamani Raila ashindwe.
Cc MK254
Lini kwani amekuwa rafiki wa dikteta?
nadhani anamzungumzia Bwana M....yule ambaye jina halitajwi ovyo ovyo...the man who shall remain unnamed.....2012 dikteta uchwara alikwenda kumpigia kampeni.
..mara kadhaa amemtembelea dikteta uchwara.
..sitaki kabisa kumsikia Raila Odinga.
..2012 dikteta uchwara alikwenda kumpigia kampeni.
..mara kadhaa amemtembelea dikteta uchwara.
..sitaki kabisa kumsikia Raila Odinga.
ndio kisha urafiki haumaanishi chochote...hata Odinga akashinda sioni kama uhusino kati ya Kenya na Tz utabadilika kwa asilimia kubwa sana licha ya kwamba Odinga na yule jamaa mwingine ni marafiki wa karibuMbona urafiki wao umeenza hata kabla ya 2005?
Ndo siasa zetu za Africa. So lazima aibe ili ashindeLabda kwa kukwibaaaa
Zinachakatwa hizo.Washa reporti but IEBC national tallying centre bado haija zi present ziko still kwa county tallying centre
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu zamani wakiwa mawaziriLini kwani amekuwa rafiki wa dikteta?