Mkuu, jaribu kuandika rangi unayoitaka kwa jina lake kuliko hizo code zitakuchanganya kiongozi.[COLOUR=#008080]NAJARIBU TU[/COLOUR]
Kwangu option ipo ila haifanyi kazi #invisibleInawezekana ikawa kuna option ya ku-remember this password & username ngoja tuwaulize hawa wahusika hapa tunaomba mtueleze hili suala mkuu Invisible, Moderator, Mhariri.
Tusubirie majibu kutoka kwao tujue kama kuna hiyo option au ni lazma unatakiwa u-log in kila unapoingia JF kupitia app yao kwa sasa.
Tunaomba muongozo wakuu.
T. I. A.
Toa hiyo alama ya # jaribu mara ya mwisho please [emoji4][COLOUR=#RED]APO JE[COLOUR]
Wee ulitaka kufanyaje kwani...?.#008000
Mi nikitaka kumtaja mtu huwa naweka alama hii hapa @ halaf siachi nafasi naweka na jina lake kwa mfano nikifanya hivyo huwa ina displayname yake.Kwangu option ipo ila haifanyi kazi #invisible
KIOOMi nikitaka kumtaja mtu huwa naweka alama hii hapa @ halaf siachi nafasi naweka na jina lake kwa mfano nikifanya hivyo huwa ina displayname yake.
Jaribu nawe utaona.
Aacha mbwembwe wengine hawana dogo anaweza shindwa makusudi tukashondwa pata kioo humu hahaMkuu, ni color au COLOR sio colour wala sio COLOUR ukishindwa hapo tena nabadili username situmii tena KIOO.
JARIBU MARA YA MWISHO PLZ.
Si hapo umeshapost mkuu.afadhari umeniona maana shida mfano nataka kuposti kitu nafanyaje natumia sim
Kwenye simu yako si unaona wameandika jukwa la siasa, jukwaa la habari na hoja mchanganyiko n.k unaziona hizo forums/jukwaa...?.yaaaaaa