For JamiiForums Mobile users

For JamiiForums Mobile users

[HASHTAG]#008000hakika[/HASHTAG] [HASHTAG]#FF0000nimeweza[/HASHTAG]
 
Hii kitu inachekesha sana inakuwa kama watu wanaongea kwenye simu kisha mmoja anamwambia mwenzake nataka uninunulie viatu kama hivi nilivyovaa wakati jamaa amwoni nasema hivi kwa sababu ukifanikiwa kutumia hiyo code aitokei ulivyo iandika ila inatokea kile kilicho badilika tu
 
Huyu jamaa ajui kuelekeza kabisa itakuwa ni profesa
 
Ngoja nijaribu kucheza na ujinga wake wa kutokujua kuelekeza nijue kakosea wapi
Moto[/#FF0000]
Moto[/FF0000]
Moto[[HASHTAG]#FF0000[/HASHTAG]]
Moto#FF0000
 
Huyu aliye leta mada lazima awe chizi ajui kabisa kuelekeza kwa sababu ukitaka kumwelekeza MTU asiye jua jambo unatakiwa umwelekeze kutokana na kutokujua kwake siyo kujua kwako Mara ondoa mabano mara weka = Mara # Mara/ uchizi mtupu
 
Back
Top Bottom