For JamiiForums Mobile users

Duh, mimi ndio naona leo hii elimu, naona kikubwa hapa ni kutumia HTML tags, anyway, kwa sisi tuliopita kwenye field hiyo sio issue ila kwa wale ambao ndio wataanzia hapa. Suggestion: Itengenezwe pop-up au advert ya hizi tags itakayokuwa inawakumbusha watumiaji wa Mobile devices, ingekuwa hivyo ningekuwa nshajua cku nyingi na sio leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…