For JamiiForums Mobile users

For JamiiForums Mobile users

Nime boresha kidogo hiipost

  • bold ni hivi [b]text[/b]
  • underline ni hivi [u]text[/u]
  • rangi
    ni hivi [color=blue]text[/color]
  • Link ni hivi [url=http://ilovetz.com.com]hapa[/url]
  • kukata neno... Hi naona inazingua JF
    ila nayo ni [s]text[/s]
  • kulist vitu ni
    [list]
    [*]item1
    [*]item2
    [/list]
    ambayo itaonekana hivi
    • item1
    • item2
Waweza ongeza code zaidi
 
mbona sijakusoma?

Namaanisha ukifunguwa tu ku post au ku reply post hizo features zote ni za kuchaguwa tu na haina haja ya kukumbuka codes zote hizo, sijawahi kuwa na tatizo hilo.
 
Kulist vitu tumia code hizo apo chini na utaspesify kwa aina ya list mfano ukieka 1 italist kwa namba na herufi a ilist kwa a to z

[size=+4] code za kulist kawaida [/size]

[list]
[*]list item 1
[*]list item 2
[/list]

[size=+4] itatokea na kuwa [/size]

  • list item 1
  • list item 2


[size=+4] kueka email [/size]
Hapa utaeka email mtu akiclick moja kwa moja anakutumia email.

[email]hemedans@yahoo.com[/email]

Hio itatokea

hemedans@yahoo.com

Au uspecify name kama

[email=hemedans@yahoo.com]click hapa kunitumia email[/email]

Itatokea
click hapa kunitumia email
 
Kulist vitu tumia code hizo apo chini na utaspesify kwa aina ya list mfano ukieka 1 italist kwa namba na herufi a ilist kwa a to z

[size=+4] code za kulist kawaida [/size]

[list]
[*]list item 1
[*]list item 2
[/list]

[size=+4] itatokea na kuwa [/size]

  • list item 1
  • list item 2

Uko deep chief
 
Back
Top Bottom