Nimeweza
Ww mtoto unatisha kama kirus cha Ebola,au ulisoma IT
Jamani mimi sijui kufungua uzi yaani kuanzisha thread hebu nipeni maujuzi basi maan nina umbea nimebaki kucoments [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NGOJA NIJALIBUkwenye alama ya sawasawa usiweke SPACE. Kama hivi
Mbona mimi inakubali