For JamiiForums Mobile users

For JamiiForums Mobile users

natumia browser

Unajua kwa Mobile Browser inakuwa Ngumi inabidi ufuate tu hiyo hiyo uliyofanya. Maana Browser haijawaspecific kwa ajili ya Jf pekee..

Kwahiyo inakuwa vigumu kukupa Njia Rahisi
 
dah ila mkuu RGforever nashukur trick yako imenifanya niweze kuzijua nyingine kama hivyo ku-quote mara 2 au zaidi na kubadilisha rang comment ya mtu ila kuna nyingine naZitest zinakataa Kudadadeki sijui itakua ni mpaka utumie application ndio ikubali au?
 
Last edited by a moderator:
dah ila mkuu [MENTION=40691]RGforever[/MENTION] nashukur trick yako imenifanya niweze kuzijua nyingine kama hivyo ku-quote mara 2 au zaidi na kubadilisha rang comment ya mtu ila kuna nyingine naZitest zinakataa Kudadadeki sijui itakua ni mpaka utumie application ndio ikubali au?
Nimeweza eti eeeh
 
ku-quote kwa juu
dah ila mkuu RGforever nashukur trick yako imenifanya niweze kuzijua nyingine kama hivyo ku-quote mara 2 au zaidi na kubadilisha rang comment ya mtu ila kuna nyingine naZitest zinakataa Kudadadeki sijui itakua ni mpaka utumie application ndio ikubali au?
 
Last edited by a moderator:
dah asante mkuu ila hiyo ya ku-quote watu 2 kwa mpigo mwanz ilikua inanigomea(nilikua bado sijapata idea nzuri ) nikajua rabda mpaka utumie application kumbe hata kweny browser imekubali na pia kuna trick moja naona watu wanaifanya ila mm bdo hadi sa iv inanigomea😛opcorn:
Hahahaha HAH hongera mkuu...
 
hapa najaribu kuunganisha comment za thread tofauti halafu naziquote kwa pamoja :flame:
du aisee umetisha kama link ya hapo chini
[h=4]jamiiforums.com - shrink your URLs and get paid![/h]
Zinaitwa Launchers... Best kwangu ni hizi
1. Mini Launcher
2. Action launcher
3. Nova launcher
nenda store kadownload ringtone maker, tumia hio kukata miziki yako na kuifanya iwe ringtones. kuna watu wana tabia ya kueka sms tone nyimbo nzima ikiingia tu sms kwake basi ni kero thats why kuna hio limitation.

pia update kwenda wp8.1 (lumia cyan) zitaondoka limitation nyingi itakuwa nzur zaidi
 
Back
Top Bottom