Mzalendo39
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 881
- 1,033
Najaribu#0000FF#
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maalum JF pekeeHivi hii elimu inafanya kazi hata kwenye whatsapp au ni maalumu kwa ajili ya hapa jamvini?
PIA Njia Hii Iko Poa KULIKO HIYO YA KUKARIRI COLOR CODES
[color=Jina la Rangi utakayo]SENTENCE UNAYOTAKA IWE NA RANGI[/color]
Mfano [color = blue]JAMIIFORUMS[/color] WEWE USILUKE NAFASI HAPO KWENYE = MIMI NIMELUKA ILI UONE KAMA NISINGE LUKA NAFASI INGE ONEKANA HIVI JAMIIFORUMS
Pia UNAWEZA KU BOLD MANENO KWA KUYA WEKA KATIKATI YA [ b ]maneno unayo taka yawe bolded[/b] kumbuka kuto weka nafasi katika hizo helufi b ndani ya mabano
Mfano: JAMIIFORUMS
PIA KAMA KUNA MTU ANAHITAJI KUJUA KUWEKA PICHA KATIKA THREAD ANAWEZA ULIZA. PICHA KAMA HII
![]()
Asante mkuu kwa mualikoshedede njoo ujifunze
Asante mkuu kwa mualiko
Am done [emoji2]humu jf raha sana[\color]
Naisi ni server ya talpatalkKwa nini icon ya Jamiiforums app katika simu yangu imeamua kuwa tofauti?????![]()