Fanya hivi
[ colo r= red ] jaxonjaxon [/colo r]
1.Sasa hizo space zote hazitakiwi.
Sasa itakuwa hivi, hapo sasa sijaacha space.
jaxonjaxon
2.hupaswi uache nafasi yoyote kati ya hivyo hispokuwa katikati ya neno na neno
mf.Baba na mama
Hivyo Baba ya mwanzo usiachanishe nafasi na rangi utakayotumia au code,yaani itakuwa,
[colo r= blu e ] Baba
(usiache nafasi kama mimi nilivyoacha,nimeacha ili uelewe)
Neno la kati halina tatizo, yaani baada ya baba utaacha nafasi
Neno la mwisho pia liwe hivi
[ /colo r ]
(usiache nafasi) ila kabla ya hilo kuna mama nyuma yake na kati ya mama na [ /colo r ] usiache nafasi
Yaani
[ colo r= blue ] Baba na mama [/colo r ]
Mwanzini na mwishoni kote nimeacha nafasi ili uelewe lakini wewe hupaswi uache nafasi
Yaani hapo space inatakiwa kati ya neno baba na "na" halafu "na" na mama
Yaani,Hapa sijaacha nafasi sasa
Baba na mama
-kama code zinachanganya tumia majina ya rangi mfano blue,red,white n.k
Jaribuni halafu mtoe mrejesho mrejesho
great vision Jemedal_bin_chichi CHAPTER5 Mpagani steve
WAR Tunizei
Na wengine