indian mark 2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 397
- 301
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anhaa unatumia App au web?Mkuu nielekeze namna ya kuweka 'link' ya Uzi kama nataka mtu arejee.
unaingia kwenye thread husika... ukishaingia pale juu kulia ukutani kuna vidots vitatu...utatouch hapo...utatouch hapo kwenye COPY URL... itakuambia " Thread URL has been copied to Clipboard successfully"... (Yaani hapo utakuwa umeshacopy hiyo link ya hiyo thread)App mkuu
App mkuu
Hiyo option ipo unafanya hivi yaani hapo unapotaka kuandikia kwenye huo mstari unaocheza cheza unapotaka kuandika | ..... hold kwa sekunde kadhaa..juu yake litatokea neno Paste utapasteMkuu, option ya kupaste haionekani kwenye simu yangu, so what should i do mkuu
Mkuu, nashukuru nimefanikiwaHiyo option ipo unafanya hivi yaani hapo unapotaka kuandikia kwenye huo mstari unaocheza cheza unapotaka kuandika | ..... hold kwa sekunde kadhaa..juu yake litatokea neno Paste utapaste![]()
Pamoja mkuuMkuu, nashukuru nimefanikiwa