For JamiiForums Mobile users

For JamiiForums Mobile users

Hili somo lilishaletwa na RGforever ila tunashukuru kwa Elimu zaidi hasa watumiaji wa simu za viganjani wale wa Computer za key body wamerahisishiwa
Nenda MOBILE
 
ngoja nijaribu kwa kutumia mobile kama itakubali
 
Hello Guys.Najua Mobile users wa JF wanamiss vitu ving sana vya uzuri wa JF. Mfano kuweka Rangi katika Maandishi ya Post yako au Thread.SASA KAMA UNATAKA KUWEKA rangi katika Post yako kuna Njia rahisi ya kutumia bila kutumia COMPUTER.TUANZE.HEBU TUWEKE RANGI NYEKUNDU1. Kama umeandika Maneno yako mfano Neno MOBILETutatumia code hizi mbili1.[COLOR=#ff0000 ]2.[/COLOR ] Usiweke Space yoyote ile mi nimeweka ili zionekane tu hizi CodeOKAYSasa Mwanzo mwa neno MOBILE yaani Nyuma ya herufi M weka code hiyo ya kwanza halafu mwisho mwa neno MOBILE yaani mbele ya herufi E weka code hiyo ya Pili. Its DONE.[COLOR=#ff0000 ]MOBILE[/COLOR ]Au hivi [COLOR=red ]MOBILE [/COLOR ]MOBILE
KWA CODE ZINGINE HIZI HAPA​
#000000 black#FFFFFF white#FF0000 red #008000 green #0000FF blue #FFFF00 yellow #808080 gray #800080 purple #00FF00 lime #00FFFF aqua #FF00FF fuchsia #800000 maroon #000080 navy #808000 olive #C0C0C0 silver #008080 teal#EE82EE violetNOTE: unaweza kuweka Code number au Jina la Rangi kama hapo juu yalivyoorodheshwaHalafu Unamalizia kwa code ya pili. THANKS GUYS
UPDATE
KUPIGIA MANENO MSTARI [U ] MSTARI [/U ]Toa au rudisha hizo space and u're done MSTARI
KUWEKA SMILEY​
Toa au rudisha hizo space and u're done1 :do h: :doh:2 :win k: :wink:3 :bathbab y: :bathbaby:4 :embarrasse d: :embarrassed:5 :coffe e: :coffee:6 😛opcor n: 😛opcorn:7 :mwaaa h: :mwaaah:8 :flypi g: :flypig:9 :range r: :ranger:10 :israe l: :israel:11 :lo l: :lol:12 :tongu e: :tongue:13 :wink 2: :wink2:14 😛ee p: 😛eep:15 :gossi p: :gossip:16 :smas h: :smash:17 :evi l: :evil:18 😛o a: 😛oa19 :focu s: :focus:20 :y o: :yo:MORE TO COME.
HERUFI KUBWA​
Kama Unataka Kuweka Herufi Kubwa. Basi Fanya hivi...andika maneno yako Mfano JF MOBILE. Sasa mwanzoni weka code hii [size=15 ] na Mwishoni weka Code hii [/size ]Usiruke space kama mimi.. And its DONE. Hiyo 15 unaweza kuibadili kulingana na size unayotaka.JF MOBILE oooh Niiice
KUWEKA NENO CLICK HERE au KUWEKA LINK
Ni Ngumu kidogo.but lets try[ url=www.jamiiforums.com] CLICK HERE [/url]Hapo nilipoandika jamiiforums unaweza kuweka web address yoyote ile. Ila kumbuka kutoruka space.
bofya hapa
 
Back
Top Bottom