BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Haya
Wamiliki wa magari shaurianeni....
Wengine mlo mmoja tu kuupata kwa manati leo ajifunze gari ambalo hana hata ndoto za kumiliki
Ushauri mzuri lakini
Gari,nyumba,kupanda ndege,kuoa /kuolewa co ndoto hzi n vtu vpo na ni uamuz wako kumiliki.so n vyema kujua hata kuendesha hako ka boda boda basi if huna gar ila tucvweke vtu hv kama ndoto coz n haki yako kuwa navyo c ndoto wewe tu ujitume utavpata mbona
Mbona mjini hapa kuna watu kibao wana leseni ya udereva na hata kuendesha gari hawajui.
Wanaume tu inawahusu
Ha ha ha hata jogoo anajua kugegedatukijua kugegeda inatosha magari pikipiki jifunzeni nyie
Haya
Wamiliki wa magari shaurianeni....
Wengine mlo mmoja tu kuupata kwa manati leo ajifunze gari ambalo hana hata ndoto za kumiliki
Ushauri mzuri lakini
Driving schools zipo kibao.walizipataje?
Hivi huwa mnawaza nini? Gari ukijua kuendesha inaweza kuwa ajira pia. Unajua maisha ya madereva wa UN,EMBASSIES,DFP?STK etcWengine wanajua kuendesha gari, wengine baiskeli, wengine mikokoteni ndo maisha. Sasa mtu kipato chake kwa siku ni 1000 unataka aimalize kwa mafuta?
najua kila mtu anajua lakini kumfanya arizike hiyo ndo kazi sio wote wanaojua hiyo kazi weweHa ha ha hata jogoo anajua kugegeda
Alichokisema huyo bwana ni cha umuhimu sana ingawa ni kwa wakati wake..na sio kila wakati....
Kumbu kumbu zangu zimenirudisha nyuma kidogo....kwa kujua kuendesha
Gari ingawa sina gari kulinifanya niokoe maisha ya mama mjamzito...maeneo fulani.....
Kweli aisee.
Unaweza kuishi na mtu ana gari,amezidiwa usiku .
Nani atamrush hospital?
Ahsante mtoa mada.wiki ijayo nitaanza kujifunza.
What happened wiki iliyopita imenifunza mengi.
Sio lazima uwe nalo ndo ujifunze.
haya sawa mkuunajua kila mtu anajua lakini kumfanya arizike hiyo ndo kazi sio wote wanaojua hiyo kazi wewe
Haha..bora wewe umekuwa muwaziSijui kuendesha baiskeli na pikipiki. Na sioni umuhimu wa kujua kwasababu sitakuja kumiliki hivi vyombo.