'Mungu atatenda kadri ya uwezo wake'
SMH
Tuache kumjazia kazi Mungu,komaa soma vya kutosha Mungu unamshkuru kwenye matokeo,hata pepa bado ushamtupia Mungu zigo!!
Tuache kumjazia kazi Mungu,komaa soma vya kutosha Mungu unamshkuru kwenye matokeo,hata pepa bado ushamtupia Mungu zigo!!
Ole wenu mkae kwa kujipanga na kuanza kuangaliziana majibu...
Naskia siku hizi hata SUA mnaingia kwenye paper huku mmeandika majibu mwili mzima kama jamaa wa MZUMBE. Kama ni kweli basi kilimo kwanza haitaleta mafanikio kamwe. U are scientists guys.
Unasema na mie kweli?
Ole wenu mkae kwa kujipanga na kuanza kuangaliziana majibu...
Naskia siku hizi hata SUA mnaingia kwenye paper huku mmeandika majibu mwili mzima kama jamaa wa MZUMBE. Kama ni kweli basi kilimo kwanza haitaleta mafanikio kamwe. U are scientists guys.
duuuu!!!!!!Ole wenu mkae kwa kujipanga na kuanza kuangaliziana majibu...
Naskia siku hizi hata SUA mnaingia kwenye paper huku mmeandika majibu mwili mzima kama jamaa wa MZUMBE. Kama ni kweli basi kilimo kwanza haitaleta mafanikio kamwe. U are scientists guys.
Wanawaitaga MICHAEL SCOFIELD.
Wanawaitaga MICHAEL SCOFIELD.
Kesheni mkiomba mtafaulu!