nyambari
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 355
- 171
Wasuaso wenzangu nawatakieni maandalizi mema ya mitihani ya kumaliza semester inayoanza jumatatu tar 20 feb ni matumaini yetu wote kwamba mungu atatenda kadri ya uwezo wake najua ni kipindi kigumu lakini yote katika yote ni mmoja tu awezaye kutupa ushindi. All the best