Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
inatosha mbona... gari ni gari tu... kakaDah!natamani sana hii kitu lkn mimi nina toyota probox
Huyo Kareen Patel kawapeleka mbio sana wakina Gurjit. Ana uwezo mkubwa sana wa kuimiliki gari.
Dah!natamani sana hii kitu lkn mimi nina toyota probox
hahahah inategemea Na TEZZA yenyewe.. all in all..tunaangalia una JIKO gani katik BONNETteam nisioipenda dunian ni team tezza hawa nao eti wana magari
Umechambua vizuri sana
next updates zipo za kutosha ntakuwa naziachia... pmj kakaUmechambua vizuri sana
hii sio ya kukosa kaka... alaf vip sprint ya sisi ambao hatupigi rally.. maana ile ya Tanganyika packers ilikuwa HOT......Mwezi wa 10 kuna Rally KigamboniView attachment 868633
Hii kawe TP nilikuwa sikosi kila j2
hahah pale TP patamu sana.....ingawa walikuja kuzingua watu wasipatumie.. ila siku za hivi karibuni wameruhusuHii kawe TP nilikuwa sikosi kila j2
Saizi wameruhusu ila inabidi upate kibali kutoka kwa Mzizima Motor Sport Club.hahah pale TP patamu sana.....ingawa walikuja kuzingua watu wasipatumie.. ila siku za hivi karibuni wameruhusu
makao yao makuu nackia wamehama... au ni tetesi tu.. nataka nikachukue membership paleSaizi wameruhusu ila inabidi upate kibali kutoka kwa Mzizima Motor Sport Club.
Wacheki kwenye simu, namba zao angalia katika page yao.makao yao makuu nackia wamehama... au ni tetesi tu.. nataka nikachukue membership pale
POA.. ILE SPRINT iliyopita sikupata muda wa kuhudhuria.. ila walipanga kila miezi mitatu wanafanya sprint... ngoja niwafatilie nilete mrejesho...Wacheki kwenye simu, namba zao angalia katika page yao.
Saizi ukitaka kufanya mazoezi ya sprint pale TP unalipia na walisema watakuwa na walimu wa kufundisha kuchezea na kuendesha gari za Rally.
MZIZIMA ni team nzuri sana..Saizi uwezi ukacheza Rally kama sio member wa club yoyote.
Lazima ujiunge kwenye club ndio ushiriki Rally.